Hivi hawa wanaokula kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhan na Kwaresma ni hawana dini au ndo wanajiendekeza?

Hivi hawa wanaokula kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhan na Kwaresma ni hawana dini au ndo wanajiendekeza?

Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.

Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?

Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Unatuonea gere tukila kiti moto na ugali pale kitambaa cheupe mchana huu.Acha husda Abdalah🤣🤣🤣
 
Maisha yetu ya kila siku ya taabu,,,mihangaiko,,maradhi ni mfungo tosha,,alafu mfungo ni kwa ajili ya waliobarikiwa kuanacho,,,wewe kama kwako ni ile Pangu Pakavu utaishia kukufuru tuu,,na kujipa mateso bure mwisho wa siku upate maradhi bure na uudhoofishe mwili tuu!!!###MaskiniMwikoKufunga##
 
Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.

Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?

Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Mind your own please.
 
Kuna kitu kinafikirisha Sana.... Zanzibar 99% ni waislam lakini mwezi wa ramadhani chakula kinapanda bei (demand inazidi supply) hii ikoje
Ni kwa sababu watu hupenda kula vizuri ili wafidie pale ambapo pamepwaya kutiwa chakula mchana.

Mimi nilidhani wangekuwa wanakula tu vyakula vya kawaida kwa kujinyima ili hizo gharama za kuandaa vyakula zaidi ya kimoja wazitoe kwa wasiojiweza ila wanakula tena wenyewe.
 
Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.

Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?

Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Kufunga kwa wakristo ni tofauti na ufungaji wa waislamu..!!
 
Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.

Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?

Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Kumbuka Kuna Watu ni Wagonjwa wanatumia dawa Kali Kama .ARV, una vidonda vya tumbo. Kumbuka Kuna Watu hawamini dini yoyote wao mradi Mambo Yao yanakwenda,Kumbuka Kuna Watu hawaamini kabisa Uwepo wa Mungu huyo wa Waarabu na Wazungu kumbuka tu Imani ni Jamba hiyari. Halafu acha Upuuzi Mungu hazihakiwi kwa kubadili majira ya kula kwamba eti nifunga Mchana Usiku unakula muda wote
 
We shughulika na yako...

Mbona ikiwa ni wakati usio wa mfungo huwa hujitolei chakula kwa wale wasio na uwezo wa kupata chakula...
 
Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.

Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?

Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Wewe hangaika na dini yako acha watu wale
 
Mtoa mada unatakiwa uwe mjanja hizo mambo uliletewa ili utawaliwe na chakula chako au pesa ako uwapelekee wao Lakin wao hawana time na muda hahahaaaaaa kula Bata jomba hakuna kufunga
 
Sifahamu kama Nchi yetu kwa sasa inaongozwa kwa misingi ya imani za Dini.

Chakushangaza zaidi, nashangaa kwa nini mijadala ya masuala ya imani za Dini imetamalaki hapa Jukwaani.

Nasikitika zaidi kuona Watanzania wenzangu, kila kunapotokea mkeka wa uteuzi, hukimbilia kukagua majina yenye vinasaba na masuala ya imani za Dini kisha kuanza kulalamika kwanini wa Dini ile wamekuwa wengi na wa Dini hii wamekuwa wachache.

Mie nilidhani masuala ya Dini ni mambo ya mtu binafsi kama ilivyo mahusiano ya kimapenzi, familia, kipato cha mtu n.k
 
Hizi dini tumeletewa tu kikubwa ni kudumisha amani na upendo.
 
Back
Top Bottom