Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasumbuliwa na hawa majizi Kila baada ya siku mbili na natoa taarifa ila sijasikisa hata mmoja kakamatwa😡Bado napata meseji zao. Sielewi hizi namba wanazotumia kama zimesajiliwa kwa NIDA na alama za vidole wanapata wapi ujasiri wa kutapeli watu maana kuwakamata ni jambo rahisi. Mamlaka husika nataka jibu vinginevyo kazi imewashinda.
Kwenye kupoteza simu sahau kuipata. Nimesharipoti simu zaidi ya tatu hakuna hata moja ilipatikana. Unasubmit loss report unasubiri weekend ukiuliza unaambiwa labda simu ilichinjwa wakachukua spare parts kwa hiyo hatuwezi kui-trace!TCRA na kitengo cha cyber wanatia aibu, haiwezekani mgundue namna ya kutulipisha kodi kwa luku ila majizi hayashikwi! Ukipoteza simu same case, kama haina docs za muhimu bora uiache tu mana utatumia gharama za kununua simu ingne
Hukutembeza fungu mkuu amini, ukihonga wanaipata wiki hiyo hiyo au wanaku refer pa kuipata kuna watu private wanatoa huduma hyo kwa gharama lakn eti kulingana na thaman ya simuKwenye kupoteza simu sahau kuipata. Nimesharipoti simu zaidi ya tatu hakuna hata moja ilipatikana. Unasubmit loss report unasubiri weekend ukiuliza unaambiwa labda simu ilichinjwa wakachukua spare parts kwa hiyo hatuwezi kui-trace!
TCRA na kitengo cha cyber wanatia aibu, haiwezekani mgundue namna ya kutulipisha kodi kwa luku ila majizi hayashikwi! Ukipoteza simu same case, kama haina docs za muhimu bora uiache tu mana utatumia gharama za kununua simu ingne
Watuambie wanafanya kazi suyo kula mishahara kwa kodi zetu halafu sisi tunaumizwa na wezi. Kama wameshindwa watafute hata contract na kampuni za cyber security za nje. Mtu unaibiwa simu kwa mfano na simu ina IMEI lakini simu inashindwa kupatikana. This is no way to go!Nasumbuliwa na hawa majizi Kila baada ya siku mbili na natoa taarifa ila sijasikisa hata mmoja kakamatwa😡
Wizi tu kama wizi mwingineHukutembeza fungu mkuu amini, ukihonga wanaipata wiki hiyo hiyo au wanaku refer pa kuipata kuna watu private wanatoa huduma hyo kwa gharama lakn eti kulingana na thaman ya simu
Nashangaa watu wapo TCRA wanatunisha vitambi wameshindwa kabisa kuoambana na huu utapeliBado napata meseji zao. Sielewi hizi namba wanazotumia kama zimesajiliwa kwa NIDA na alama za vidole wanapata wapi ujasiri wa kutapeli watu maana kuwakamata ni jambo rahisi. Mamlaka husika nataka jibu vinginevyo kazi imewashinda.
Kumbe ni mpaka nitembeze fungu🤔 Mama yetu Samia na mawaziri wako mnasikia hayo madudu?? Mkuu hebu nipe contact za hao watu private nicheki nao. Please dm meHukutembeza fungu mkuu amini, ukihonga wanaipata wiki hiyo hiyo au wanaku refer pa kuipata kuna watu private wanatoa huduma hyo kwa gharama lakn eti kulingana na thaman ya simu
Nina mashaka kama huu utaratibu wa usajili wa line za simu umesaidia lolote kweye KYC (Know your customer). It seems kuna loophole mahaliKuna walo wako mitandaoni(Istagram na Fb)
Ambao wanamatangazo yao kuwa wao ni MO foundation(wanatoa mikopo)
Ukifatilizia process zao wanakupa hadi namba ya simu zao za kutuma hela ya makato (ambayo ndo utatapeliwa sasa)
Sasa hadi wanafanya ujinga huu hivi kweli mamnala za kuhangaikia hawa watu
Na hao wa Tuma kwa namba hii asilimia 90 ni mtandao wao wa serikali TTCL..
Sasa wizara husika itoe majibu kwa hili. Hatuwezi kuendelea na holelaholela ya namna hii. Ni aibu kwa serikaliHii nchi hakuna kitengo kinachofanya kazi yake kwa usahihi, uaminifu na uadilifu. Kila sehemu ni janja janja tu...
Mdogo wangu alipoteza iphone yake, tulifanikiwa kuipata baada ya miezi 2 lakini ilikula karibu laki 2. Polisi wanapenda rushwa sana ndio wafanye kazi, bila hivyo hakuna msaada utapata...
Nimesokia tetesi kua wezi wanafanya editing ya IMEI za simu. Hata kama ni kweli hakuna njia cyber security expert anaweza ku trace back the original IMEI? Nchi za wenzetu ukiibiwa simu ukiripoti na vielelezo mitandao yote inaiblock hiyo IMEI kwa hiyo simu hata ukiweka line nyingine haifanyi kazi.muda mwingine huwa nahisi wana shirikiana nao, kwasababu hakuna Cha maana hao tcra hufanya.