Padre Moshi wa Kotela Mamba Kilimanjaro anasema , Enyi Ukraine na Urusi kaeni muyamalize kwani wanaoumia ni raia wasio na hatia.
Ali Mrangi Gigiri wa Kondoa Dodoma kwa sasa nipo safarini Manyara ,
Wajadi fundi wa jadi binadamu Mashaka na mke wake..
Ukitaka kufurahia haya majina lazima mtangazaji awe Tatu Karema au Zainabu Rajabu na Umil Kheir kutoka Bönn