HIVI HAYA MADUDE BADO YAPO ??

Siku hizi lipo hadi kwenye android

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Daby nikumbushe jina lake...
Ungesema mdako, bao, au rede sawa.
+ gari la kamba, kamba za majani fulani yanatambaa,

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Acha niulizie. ...hapo umenipoteza kusema ukweli
Kuna majani fulani yanatambaa, na kutengeneza kamba kamba,. Sasa zile kamba zinang'olewa, zinaungwa mwanzo na mwisho... Mnaaingia katikati ya kamba mkiwa mmejipanga kama foleni ya TRA, wa mbele ndio dereva... Anayeendesha gari... Hapo vipi

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Sijapitia hiyo. ..ndio naisikia kwako. ...
Asante sana kwa ufafanuzi .
 
Usinipe pole. Mchumba naye tatizo. Mpaka amalize internship dah....sjui nifosi tu. Nadhani mi na umri wa huyo sister wako sababu ningekuwa mwanamke ningwkuwa tayari nina ndoa.
Sent using my Nokia Torch
Hiiiiiiiii Mzee huyu binti ni mkubwa kwako.
 
Hayo yapo boss juzikati nilienda dar kuona familia kijana wangu wa darasa 4 nilimuona analitumia hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…