π€£π€£π€£π€£Kuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
Hapana hiyo ya apple sijuiNa apple au
Wewe ni Mzuka mbona unabisha bila reasoning.Ni uwoga tu, hakuna chochote
Hao wapo kila mahali.Wewe ni Mzuka mbona unabisha bila reasoning.
π€£π€£π€£ milele AminaBRAZA CHOGO Tumsifu Yesu Kristo mkatumeni.....
Hatimae BICHWA KOMWE kaonekana! Ujibu comment yangu laa sivyo hapo turian so mbali...
Jumapili njema na utume mwema mkatumeni π
Nime-observe tu.Kwann unasema hivo mkuu
Kariakoo ndio sehemu ninayoweza kuamini pale sio wote ni binadamu.1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost).
2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira unayoiona kwenye kioo kawaida huwa sio halisia.
3: Mizuka huwa wanapenda kicheko cha binadamu kadri unavyocheka zaidi ndivyo unavyozidi kuwavutia zaidi.
4: Ukihisi mtu alikuwa amekaa kwenye kitanda chako basi tambua haupo pekeako.
5: Ukiwa unatembea na ukahisi kuna mtu nyuma yako basi huo ni mzimu unakuangalia. Binadamu wana uwezo wa kuhisi uwepo wa mizuka.
6: Ukiwa usingizini ukaota ndoto umeuona mzuka basi jua kuna mzuka umekukazia macho unakutazama.
7: Mda mwingine ukipiga miayo basi tambua kuna mzuka unajaribu kukuwekea kitu mdomoni.
Ila alikusaidia kuweka vitamin vya apple mwilini mwako etππKuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
Exactly π―β βYa kwanza ni ukweli mtupuuu
Tena huwa nahisi kati ya hao watu 200 bas 190 sio watu halisi ni VIINI MACHO tu.
Hatu humu mitandaoni ni maroboti matupu.
Aise leo nakunywa Savanna tatu tu ππNi uwoga tu, hakuna chochote
Kula bia, Maisha mafupi haya.1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost).
2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira unayoiona kwenye kioo kawaida huwa sio halisia.
3: Mizuka huwa wanapenda kicheko cha binadamu kadri unavyocheka zaidi ndivyo unavyozidi kuwavutia zaidi.
4: Ukihisi mtu alikuwa amekaa kwenye kitanda chako basi tambua haupo pekeako.
5: Ukiwa unatembea na ukahisi kuna mtu nyuma yako basi huo ni mzimu unakuangalia. Binadamu wana uwezo wa kuhisi uwepo wa mizuka.
6: Ukiwa usingizini ukaota ndoto umeuona mzuka basi jua kuna mzuka umekukazia macho unakutazama.
7: Mda mwingine ukipiga miayo basi tambua kuna mzuka unajaribu kukuwekea kitu mdomoni.
Utume mwema!π€£π€£π€£ milele Amina
Leo uje basiiiii tutimize maandikoUtume mwema