Hivi haya mambo ni kweli? Hadi naogopa jamani

Hivi haya mambo ni kweli? Hadi naogopa jamani

Kuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
🤣🤣🤣🤣
 
1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost).

2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira unayoiona kwenye kioo kawaida huwa sio halisia.

3: Mizuka huwa wanapenda kicheko cha binadamu kadri unavyocheka zaidi ndivyo unavyozidi kuwavutia zaidi.

4: Ukihisi mtu alikuwa amekaa kwenye kitanda chako basi tambua haupo pekeako.

5: Ukiwa unatembea na ukahisi kuna mtu nyuma yako basi huo ni mzimu unakuangalia. Binadamu wana uwezo wa kuhisi uwepo wa mizuka.

6: Ukiwa usingizini ukaota ndoto umeuona mzuka basi jua kuna mzuka umekukazia macho unakutazama.

7: Mda mwingine ukipiga miayo basi tambua kuna mzuka unajaribu kukuwekea kitu mdomoni.
Kariakoo ndio sehemu ninayoweza kuamini pale sio wote ni binadamu.
 
Kuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
Ila alikusaidia kuweka vitamin vya apple mwilini mwako et😂😂
 
Juzi usiku nimeshtuka mida ya saa 6 hivi nikahisi kama kuna mtu anatembea sebuleni halfu akaingia hadi chumbani,kila nikitaka kuamka kwenda kuangalia kuna kama nguvu inanikandamiza nibakie hapo hapo kitandani ....baada kama ya dakika 10 hivi nikafanikiwa kuamka kwenda kuangalia nikachungulia nje HAMNA CHOCHOTE nikarudi kulala....
NIkasali then nikarudi kulala
NAJUA USHIRIKINA UPO ila huwa siamini na siwaogopi
MUDA MWINGINE MAWENGE TU HALFU TUNASEMA ETI WACHAWI WALIKUJA USKU
HAMNA CHOCHOTE
 
1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost).

2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira unayoiona kwenye kioo kawaida huwa sio halisia.

3: Mizuka huwa wanapenda kicheko cha binadamu kadri unavyocheka zaidi ndivyo unavyozidi kuwavutia zaidi.

4: Ukihisi mtu alikuwa amekaa kwenye kitanda chako basi tambua haupo pekeako.

5: Ukiwa unatembea na ukahisi kuna mtu nyuma yako basi huo ni mzimu unakuangalia. Binadamu wana uwezo wa kuhisi uwepo wa mizuka.

6: Ukiwa usingizini ukaota ndoto umeuona mzuka basi jua kuna mzuka umekukazia macho unakutazama.

7: Mda mwingine ukipiga miayo basi tambua kuna mzuka unajaribu kukuwekea kitu mdomoni.
Kula bia, Maisha mafupi haya.
 
Back
Top Bottom