Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Uko wap toa location!Leo uje basiiiii tutimize maandiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wap toa location!Leo uje basiiiii tutimize maandiko
Huko ulaya ndio usisemePorojo za waswahili hizo. USA na ulaya wanafanya uvumbuzi wa kisayansi huku kwetu tunaongea porojo za mizuka. Tuamke jamaa
we upo wapii mtumishi!Uko wap toa location!
Wewe bwana ebu kwanza acha nicheke 😂😂😂😂😂 yaani unakubali mwenyewe alafu unakata mwenyewe,huelewek kama unataka nini unaulizwa una njaa unajibu ndio 😂😂 unaulizwa Tena umeshiba unajibu ndio 😂😂😂😂 MAnyuziiiiiiiiiiiiiii 😂😂🏃🏾♂️🏃🏾♂️Juzi usiku nimeshtuka mida ya saa 6 hivi nikahisi kama kuna mtu anatembea sebuleni halfu akaingia hadi chumbani,kila nikitaka kuamka kwenda kuangalia kuna kama nguvu inanikandamiza nibakie hapo hapo kitandani ....baada kama ya dakika 10 hivi nikafanikiwa kuamka kwenda kuangalia nikachungulia nje HAMNA CHOCHOTE nikarudi kulala....
NIkasali then nikarudi kulala
NAJUA USHIRIKINA UPO ila huwa siamini na siwaogopi
MUDA MWINGINE MAWENGE TU HALFU TUNASEMA ETI WACHAWI WALIKUJA USKU
HAMNA CHOCHOTE
Anakataa ukweli kwa kujifariji kuwa ni ndoto tu 😁😁😁Wewe bwana ebu kwanza acha nicheke 😂😂😂😂😂 yaani unakubali mwenyewe alafu unakata mwenyewe,huelewek kama unataka nini unaulizwa una njaa unajibu ndio 😂😂 unaulizwa Tena umeshiba unajibu ndio 😂😂😂😂 MAnyuziiiiiiiiiiiiiii 😂😂🏃🏾♂️🏃🏾♂️
Anatakiwa akulipe gharama zako mkuuKuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
Na kuna wale ambao wapo na chuki na makasiriko muda wote. Unakuta mtu anakichukia pasipo sababu. Akijua mpango wako anakuja akupe support halafu support yenyewe inakua ya kukupoteza kabisa. Ukijua kua anakupoteza, ukatafuta njia sahihi, hata simu yako hapkei tena. AnanunaNime-observe tu.
Kuna kitu hakiko sawa kwa watu wengi ninaowaona mitaani na barabarani!
Wengi wako kama manyumbu fulani hivi!
Anyway....
Dar es salaam Kigamboniwe upo wapii mtumishi!
😂😂😂😂 inashangaza sana....Na kuna wale ambao wapo na chuki na makasiriko muda wote. Unakuta mtu anakichukia pasipo sababu. Akijua mpango wako anakuja akupe support halafu support yenyewe inakua ya kukupoteza kabisa. Ukijua kua anakupoteza, ukatafuta njia sahihi, hata simu yako hapkei tena. Ananuna
Atleast ulifaidi 😂😂😂Kuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
Unyankindi hawajambo?Atleast ulifaidi 😂😂😂
Mkuu nitalalaje mda wa kulisha wafu😂😂😂Hizi akili za kushtuka usiku na kuandika uzi ebu uwe unalalaga kwanza