Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Njoo hapa nyumbani upate ata sita 😀Aise leo nakunywa Savanna tatu tu 😜😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo hapa nyumbani upate ata sita 😀Aise leo nakunywa Savanna tatu tu 😜😅
Ndo shughuli zako sio kumbe.Mkuu nitalalaje mda wa kulisha wafu😂😂😂
Hahaha sielewekagi kama Mwanamke malaya haeleweki anataka six cars au six packWewe bwana ebu kwanza acha nicheke 😂😂😂😂😂 yaani unakubali mwenyewe alafu unakata mwenyewe,huelewek kama unataka nini unaulizwa una njaa unajibu ndio 😂😂 unaulizwa Tena umeshiba unajibu ndio 😂😂😂😂 MAnyuziiiiiiiiiiiiiii 😂😂🏃🏾♂️🏃🏾♂️
Wewe ni Mzuka mbona unabisha bila reasoning.
Nikinywa sita ntaondoka sioni 😜😅😅Njoo hapa nyumbani upate ata sita 😀
Huwa hatufukuzi mgeni, kuna sehemu ya kupumzikaNikinywa sita ntaondoka sioni 😜😅😅
Ukihisi kuna mzuka popote, ujue ni mimi.1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost).
2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira unayoiona kwenye kioo kawaida huwa sio halisia.
3: Mizuka huwa wanapenda kicheko cha binadamu kadri unavyocheka zaidi ndivyo unavyozidi kuwavutia zaidi.
4: Ukihisi mtu alikuwa amekaa kwenye kitanda chako basi tambua haupo pekeako.
5: Ukiwa unatembea na ukahisi kuna mtu nyuma yako basi huo ni mzimu unakuangalia. Binadamu wana uwezo wa kuhisi uwepo wa mizuka.
6: Ukiwa usingizini ukaota ndoto umeuona mzuka basi jua kuna mzuka umekukazia macho unakutazama.
7: Mda mwingine ukipiga miayo basi tambua kuna mzuka unajaribu kukuwekea kitu mdomoni.
Sio kuogopa Bali natoa maalifaJina lako MAGICAL POWER halfu unaogopa mizukaa 😅😅😅
Hahaha sielewekagi kama Mwanamke malaya haeleweki anataka six cars au six pack
Ushirikina upo ila siuamini na sijawahi kuogopa
Vitu vidogo ivyo mkuuNdo shughuli zako sio kumbe.
Sikulaumu kwa hili.
Hawajawahi kueleweka hawa .View attachment 3222316
Una Manisha hawa mkuu🤷🏽♂️😂😂