Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Nimeishia hapo kusomaMimi ni kijana mwenye miaka 20 toka nizaliwe sijawahi kuyafurahia mapenz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishia hapo kusomaMimi ni kijana mwenye miaka 20 toka nizaliwe sijawahi kuyafurahia mapenz
Dharau hii sasaNimeishia hapo kusoma
mama kwenye moja na mbili hajapenda swala la kijana wake haha!Mnahonga biashara za watu. eti mm ndo nilikuwa mdogo, pyuuu
Umri wa kupiga kura uongezwe
Miaka 20 anasema hajawahi enjoy mapenzi....katika Hali ya kawaida huyo bado mdogo sanaDharau hii sasa
na anawauliza nyie wanaume wenzieMiaka 20 anasema hajawahi enjoy mapenzi....katika Hali ya kawaida huyo bado mdogo sana
2019 ulikuwa na miaka 15 ukataka uyafurahie mapenzi???
Ungekuwa ni ng'ombe basi ungekuwa NGOFA tena inayokunya huku imelala
Mbona mnanishambulia sana badala yakunishauli kama ni mdogo wako unaweza ukamwambia hiv ?2019 ulikuwa na miaka 15 ukataka uyafurahie mapenzi???
Ungekuwa ni ng'ombe basi ungekuwa NGOFA tena inayokunya huku imelala
At least watu wa makamo unaweza waskiliza sasa 20yrs unaenjoy mapenzi yapina anawauliza nyie wanaume wenzie
huo umri ilibidi awe anaulza mapenz ni niniAt least watu wa makamo unaweza waskiliza sasa 20yrs unaenjoy mapenzi yapi
Na Kwann??At least watu wa makamo unaweza waskiliza sasa 20yrs unaenjoy mapenzi yapi
Dogo anazinguaNimesoma heading na para ya mwisho nilivyoona comment yako ikabidi nicheke 😹😹😹
Zamani katika umri huo sisi ndo tunaambiwa na wazeee kwamba hiyo niaje siyo ya kukojolea tu ina kazi nyinginehuo umri ilibidi awe anaulza mapenz ni nini
tena unatakiwa uvuliwe nguo uchapwe viboko hadharani we bado mtoto sie wazee hatuwahi injoi we uinjoiMbona mnanishambulia sana badala yakunishauli kama ni mdogo wako unaweza ukamwambia hiv ?
Hahahaha 😂😂,,kwani na hio kaz nyingine si inafanana tuZamani katika umri huo sisi ndo tunaambiwa na wazeee kwamba hiyo niaje siyo ya kukojolea tu ina kazi nyingine