Hivi haya ninayoyapitia na wanaume wengine mmeyapitia kwenye ujana wenu?

😳Sijaelewa!? Yaan kwa umri huo ushaanza? Na unataka ufurahie!? Huo umri wenzio wapo busy na nyeto na masomo au nyeto na kibiashara kidogodogo
Miaka 20 hatakiwi kutafuta future wife,,,atembeze mjurubeng mwanzo mwisho.

NB:Kaandika ujinga
 
Nimecheka sana hapo alipowapa majina hao ndgu zake Zakayo na John bila kujisahau na yeye akajipa nickname ya Steve πŸ˜‚πŸ˜‚.

Jf ni anonymous kwa jina fake, akajipa jina fake jingine ndani ya story ambalo wala hajaliumia popote.
 
Nani huyo aliusaga moyo wako hadi unaandika wakala?
 
gazeti refu, weka samari
alaf nyeto inaingiaje hapo ?
 
Mbona mnanishambulia sana badala yakunishauli kama ni mdogo wako unaweza ukamwambia hiv ?
Kijana hii ni jamiiforums sio facebook mzee hawataacha kukushambulia kwa mada kama hizo

Nb: miaka 20 unataka ufurahie mahusiano "TAFUTA HELA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…