Hivi haya ninayoyapitia na wanaume wengine mmeyapitia kwenye ujana wenu?

Look at this simp. Mapenzi! Mapenzi! Mapenzi! Mapenzi maana yake nini? Sikia wewe, acha uboya. Mapenzi hayana faida zaidi ya kukupotezea muda. Alafu hakuna kitu kinaitwa mapenzi bali ni obsession beneficiary to women.

Hivyo visichana/videmu hutakiwi uviache vikuzoee, vikikuzoea vinakuchukulia poa na boya, ni kutumia nguvu na kuvilazimisha ndivyo vinavyotaka. Kama hakitaki unakipotezea. Kazi yako ni moja tu, unapiga alafu unapotea na kupotezea.

Baada ya hapo vitakuganda sababu hawana kipya tena, na hapo ndipo utaamua uendelee kukafumua au unakaghostia mbali. Baada ya hapo utavipanga kutoka Dodoma mpaka Dar.

Eti "Nampa anachotaka" hahaha! Wewe jamaa mjinga kinyama. Hutakiwi kutoa chochote kama yeye hajatoa chochote unless unanunua some expensive bitch online.

Mapenzi waachie wenye ndoa na ngo'ombe.
 
Kwan huwez shaul bila kutukana? Wengine na watu wa mungu
 
Kwan huwez shaul bila kutukana? Wengine na watu wa mungu
Hahaha!!! Watu wa mungu? Wewe umeona wapi mtu wa mungu anahangaika kufunua vyupi huku na kule mpaka kwenda na kuandika thread ndefu kuhusu harakati zake za kuvua vyupi?

Now, nimeelewa. Wewe ni mlokole simpy nice guy. That's why hivyo visichana vinakupuuzia. Kama wewe ni mtu wa mungu basi hutakiwi kulia wala kuteseka ukikosa kuvuta kiuno.

Unatakiwa uende nyumba ya ibada, upige magoti na uchekelee kwamba Mungu wako amekuonyesha njia sahihi.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Vitoto vya 2000 vina shida sana kwa kuendekeza mapenzi.
 
Nimecheka sana hapo alipowapa majina hao ndgu zake Zakayo na John bila kujisahau na yeye akajipa nickname ya Steve ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Jf ni anonymous kwa jina fake, akajipa jina fake jingine ndani ya story ambalo wala hajaliumia popote.
Dah nacheka Kama mazuri Ila majaribu kuwaza unakuta haka ndiyo katoto kangu kana akili za hivi ,haki nitakauwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ