Hivi haya ninayoyapitia na wanaume wengine mmeyapitia kwenye ujana wenu?

Mnahonga biashara za watu. eti mm ndo nilikuwa mdogo, pyuuu

Umri wa kupiga kura uongezwe
Hajaishia kuwa mdogo Ila alikuwa anampa rehema na Sarah kila kitu walicho taka na bado akaambulia patupu .

Wazazi tuwaombee sana watoto wetu ,kwa huyu kijana hainipi shida kusema ni kajinga ka tabia
 
Wale wanaujilizaga kwanini biashara ngumu na wanafirisika jimu wamelipata imagine mtu anafanya kazi kwenye duka lakini anawapa mademu Kila kitu wanachotaka Sasa ukichanganya na hao wenzake wawili huo msingi utapona?
 
Tatizo wewe ni young Sana na huna hatia na hujui vingi kuhusu mapenzi.You are innocent.Ila hiyo ni kawaida Kwa wanawake ukionesha interest anakimbia.Shukuru umetoka na experience Fulani.Huo ndyo mwanzoo makubwa yanakusubiri.

Usiendekezee wanawake ambao huna malengo kuwaoa Zinaa ukianza kuacha ni ngumu.Tunza bikra Yako ya uanaume mapenzi yapo utafanya Hadi utachoka na kukimbia.
 
Huyu ananikumbusha binamu yangu mtoto wa shangazi nilimuweka kuuza dukani nilichoambulia ni Siri yangu kibaya zaidi alikuwa anahonga boyfriend zake.kuna siku alisema anaenda makambi ya kisabato nikapata taarifa amemghalamia mpenzi wake wameenda.sasa duka limeisha Mimi naendelea na kazi yangu yeye kazalishwa na kuachwa solemba.
vijana msikimbilie mapenzi mkipewa kazi fanyeni kwa uaminifu huku mkitarajia kuwa na biashara zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…