Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
 
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagema alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Usishangae hata huo uliofanyika ulitokea nje haukuanzia hapa
 
Alitaka kuajili wafungwa ili kupunguza uhaba wa askari magereza
IMG_20220601_091612.jpg
 
Ni mtu MPUMBAVU pekee anayeweza kufanya huo upuuzi wa kutumia mabilioni ya pesa bila kuwa na uhakika wa return wala sera Bora za kuvutia utalii wakati huo kuna wanafunzi hawana madawati na hospital hazina madawa .Royal tour ni AIBU kwa viongozi na taifa kiujumla.
 
Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Wote hao Wana mimba ya magufuli ya miezi 18.Wameshindwa kujifungua.Wana mapacha.Ndio maana unaona anaanzisha thread haina miguu wa kichwa.Kumbe mimba inasumbua.
 

Yule Alikuwa Na Akili Sana Ni PhD

Ila Sasa Hivi Wakurungwa Wamemkalia Kumnaga Sana
Ndiyo Kumkumbuka Kwenyewe!!
 
Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Alikuwa muuwaji, mtu muuwaji hafai kumbuka tukio la Kaini kumuua ndugu yake Abel.

Mungu akamlaani na kumfukuza kwenda mbali na jamaa zake. Na kizazi chake kikafutwa.

Magufuri hakuwa na zuri hata moja alikuwa laana kwa nchi yetu
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu...
Kagame ametengezea hiyo kweli ba bado anautangaza utalii wake kupitia vilabu viwili ARSENAL FC & PSG pesa anayolipa arsenal ni $10m per year kule psg sijajua. Sasa ingekua kwetu ungesikia upigaji upigaji sijui kulamba asali. Utalii ukitangazwa shida usipotangazwa wanaita watu sio wabunifu. Kiukweli mama anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom