Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

M
nimekwambia ukiamini kitu sio lazima kiwe cha kweli... endelea kujifurahisha nafsi yako kwa Hallucination...
Muhishimiwa,hakuna hallucinations! Your dearly uncle,was a conman!Ulimuamini alivyokuambia nchi yako ipo uchumi wa kati "chini" na ni "dona-,kantle"?What a shame!
 
Unamzungimzia Magufuli huyuhuyu ambaye akili zake zilikuwa fyatu au Magufuli mwingine?
Wana "regase" watakutukana mkuu.Na tusi lao kuu(kama wanavyodhani)ni kumuita mtu "shoga"! Ukweli huwa unauma sana kmmmke!Hahahahahahahaaaàaa!
 
Kununua midege ulikuwa upunguwani wa Kiwango cha Billboards! Halafu unawanywesha watu Malimao na Tangawizi
Ni mtu MPUMBAVU pekee anayeweza kufanya huo upuuzi wa kutumia mabilioni ya pesa bila kuwa na uhakika wa return wala sera Bora za kuvutia utalii wakati huo kuna wanafunzi hawana madawati na hospital hazina madawa .Royal tour ni AIBU kwa viongozi na taifa kiujumla.
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
JPM alikuwa na tour zake mikoani kutafuna mahindi, kugawa hela na chuki kama njugu...

Unakumbuka movie zake za kuokota vichwa vya treni bandarini?
Na za kutaka kumpanua mama wa watu pale Morogoro!
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Hao watalii hata kama ni filamu wanafikaje kwenye nchi yako? Huna ndege..haya wanakuuliza tunakujaje unawaambia mnakuja hadi kenya, pale kenya mnapanda KQ hadi tanzania.

Unatengeneza filamu wakati huna viwanja vya ndege?

Unaletaje watalii wakati unamaliza tembo, vifaru kwa kuwawinda.

Unaletaje watalii kwenye mji ambao kila siku una maandamano ya kisiasa.

Hayo yote Magu aliyaweka sawa mzee.
 
Hao watalii hata kama ni filamu wanafikaje kwenye nchi yako? Huna ndege..haya wanakuuliza tunakujaje unawaambia mnakuja hadi kenya, pale kenya mnapanda KQ hadi tanzania.

Unatengeneza filamu wakati huna viwanja vya ndege?

Unaletaje watalii wakati unamaliza tembo, vifaru kwa kuwawinda.

Unaletaje watalii kwenye mji ambao kila siku una maandamano ya kisiasa.

Hayo yote Magu aliyaweka sawa mzee.
Acha upuuzi.Ina maana haujui kwamba tuna viwanja vya ndege miaka yote mikoani?
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Mhmmmmm, kweli sisi ni nchi za neno alilo litamka Trump.
Naona kinyaa kushea nchi na mtu mpumbavu kama wewe.

JF kungekuwa na mtihani wa kupima akili zawatu wewe ungeishia Facebook.
 
Ficha ujinga wako,ndo matokeo ya kusafirisha wanyama hizo ndo akili? Bureee kabisa
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Anko Magu alikuwa na misheni zake wala hangeweza kuwaza mambo ya royal tour, sana sana aliwaza kuminya kende za waliomsumbua, na aliminya haswaa mpaka wapinzani wakanyooka 😂
 
Hizo "je...je...je..."zingefanyiwa kazi kabla "maliyemu" hajafanya ujinga wa kuijenga Ile "Gbadolite" ya Chato ingeleta maana!Saa hizi unataka ugomvi tu.Teh!
Hata vizazi vijavyo vitanufaika na huo uwanja.

Kumbuka wewe pia hapo ulipo ni marehemu mtarajiwa.

Kuishi sio ujanja bali kudra za Mungu.

Muwe mnapunguza ujazo wa mavi kwenye nafasi za ubongo vichwani mwenu.

Maana comment zenu ni kiashiria cha watoto wa Uwanja wa Fisi.

Malezi Guest House bila hata mama kupata huduma za kliniki.

Matokeo yake ndio huu uzao wa kina wewe Moisemusajiografii
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Anus mpo wengi
 
Back
Top Bottom