Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

Kagame ametengezea hiyo kweli ba bado anautangaza utalii wake kupitia vilabu viwili ARSENAL FC & PSG pesa anayolipa arsenal ni $10m per year kule psg sijajua. Sasa ingekua kwetu ungesikia upigaji upigaji sijui kulamba asali. Utalii ukitangazwa shida usipotangazwa wanaita watu sio wabunifu. Kiukweli mama anaupiga mwingi
Sasa hizo timu ni maarufu, hivi Petro ni maarufu? Anafollowers wangapi mpaka atangaze utalii?
 
Wakuu,

Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.

Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagema alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.

Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?

Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.

Ndo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.


We fala huelewi chochote kuhusu Royal Tour na waaandaji wake.

figganigga Kwanza uelewe hii ilikuwa idea ya Wamarekani.
Haikuwa idea ya watanzania na ndio maana hatimiliki imebaki kuwa yao.

Pamoja na kwamba tumepigwa zaidi ya Bilioni 12 za kitanzania.

Huu ni mpango ambao huwa mahsusi kwa kuwaingia viongozi wenye misimamo mikali dhidi ya nchi zao.

Hizi ni mojawapo ya zile Operesheni za ndani ya CIA kupitia kitengo chake SAD
(Special Activities Department).
Ndani ya hicho kitengo ndio kuna kitengo kingine cha PAG
(Political Action Group).
Hawa ni wataalamu wa kufanya Political Influence kote Duniani.
Pale ambapo Marekani kama taifa inaona maslahi yake yakiwa shakani.

Na huko ndiko anakopatikana Peter Greenberg wa Royal Tour.

Kwa Taarifa yako hiyo haikuwa mipango ya mama yenu Samia.
Yeye amefanya kuletewa mezani na wajanja waliomtumia Dk Hassan Abbas.

Ni mipango ya vitengo ndani ya CIA.maalumu kwa kazi kama hizo.

Angalia orodha ya viongozi waliowahi kufanyiwa project ya Royal Tour Duniani na nchi zao ndio utaelewa.

Na kwa taarifa yako ni kwamba huo mpango wa Royal Tour ulianza kabla hata ya Samia kuupakata urais kupitia katiba.

Ulikuwa ni mpango mahsusi kwa Wamarekani kumuingia Magufuli kupitia Royal Tour kama walivyokuwa wamefanikiwa kumuingia Paul Kagame wa Rwanda na sasa wanachota madini ya DRC kupitia Rwanda bila shida.

Na huwasikii Marekani kumkemea tena Kagame pamoja na Udikteta wake wote.

Kwa mara ya kwanza Greebarg kuingia Tanzania alipokelewa na waziri wa maliasili wa wakati huo Khamis Kigwangalla, mbunge wa Nzega.

Mchongo mzima uliandaliwa kupitia kwa Rostam Aziz ambaye ni jirani yake Pale Igunga.
Na wote walishiriki hafla ndogo ya chakula cha usiku kwenye ubalozi wa Marekani nchini.

Baada ya kifo cha ghafla cha Marehemu Magufuli,ikawa imewarahisishia kazi zaidi kama tulivyokuja kushuhudia.

Nimekuwekea na ushahidi wa picha hapo chini ili unielewe.
IMG-20220429-WA0001.jpg
 
We fala huelewi chochote kuhusu Royal Tour na waaandaji wake.

Kwanza ni idea ya Wamarekani mahsusi kwa kuwaingia viongozi wenye misimamo mikali dhidi ya nchi zao.

Kwa Taarifa yako hiyo haikuwa mipango ya mama yenu maushungi.

Ni mipango ya vitengo ndani ya CIA.
Angalia orodha ya viongozi waliowahi kufanyiwa project ya Royal Tour Duniani ndio utaelewa.

Na kwa taarifa yako ni kwamba huo mpango wa Royal Tour ulianza kabla hata ya Samia kuupakata urais kupitia katiba.

Ulikuwa ni mpango mahsusi kwa Wamarekani kumuingia Magufuli kupitia Royal Tour kama walivyokuwa wamefanikiwa kumuingia Paul Kagame wa Rwanda na sasa wanachota madini ya DRC kupitia Rwanda bila shida.

Na huwasikii Marekani kumkemea tena Kagame pamoja na Udikteta wake wote.

Kwa mara ya kwanza Greebarg kuingia Tanzania alipokelewa na waziri wa maliasili wa wakati huo Khamis Kigwangalla, mbunge wa Nzega.

Mchongo mzima uliandaliwa kupitia kwa Rostam Aziz ambaye ni jirani yake Pale Igunga.
Na wote walishiriki hafla ndogo ya chakula cha usiku kwenye ubalozi wa Marekani nchini.

Baada ya kifo cha ghafla cha Marehemu Magufuli,ikawa imewarahisishia kazi zaidi kama tulivyokuja kushuhudia.

Nimekuwekea na ushahidi wa picha hapo chini ili unielewe. View attachment 2252434
Waambie kijijini kwenu waache porojo.
 
Sasa Kuna faida gani ya kufanya hiyo royal tour ikiwa ata aeleweki anaitaji Nini, Leo nimefadhaika Sana nilipoiona taarifa kutoka bbs Swahili ikisema wanyama Sasa ni ruksa kuuzwa na kusafiliswa nchi za kigeni,Sasa kwa akili yako unategemea Nini hao watalii anaowaita watakuja kuona Nini baada ya miaka kazaa, apo sindo tutakuwa tunarudi kule "watalii akuna siku izi kwa sababu wakina Simba na tembo na viboko wamekuwa nadra kuonekana"
 
Kagame ametengezea hiyo kweli ba bado anautangaza utalii wake kupitia vilabu viwili ARSENAL FC & PSG pesa anayolipa arsenal ni $10m per year kule psg sijajua. Sasa ingekua kwetu ungesikia upigaji upigaji sijui kulamba asali. Utalii ukitangazwa shida usipotangazwa wanaita watu sio wabunifu. Kiukweli mama anaupiga mwingi
Taifa la walalamikaji ndio hili, tunajua sana kukosoa na mtu akija na ubunifu wa kipekee hatuoni anachokifanya.

Sababu ni uvivu tu wa kuumiza vichwa.
 
Kila kiongozi ana plan zake, mbona hujasema kwann JK hakuwa na plan kama hii ila samia kaja nayo?
 
Vp na ule usemi unao sema Mtii wenye matunda ndiyo,,,,,,, malizia mwenyewe hapo!!
Huo upo sawa na wa siku hizi tu:Malaya mrembo apigike rungu hadi achakae,hasara kwa wazazi wake kutomfundisha adabu ya walimwengu.Teh!
 
Ajabu watalii walifurika kuliko nchi yotote Ile ulimwenguni
 
Mimi sijamsema. Bali nimelinganisha mambo ya Kitaifa. Magufuli alidai anajenga Uwanja watalii watue moja kwa moja kwenda Bunga ya chato. Sasa Uwanja wananchi wanaanika Udaga.
una uhakika na unachoandika?
 
Mimi sijamsema. Bali nimelinganisha mambo ya Kitaifa. Magufuli alidai anajenga Uwanja watalii watue moja kwa moja kwenda Bunga ya chato. Sasa Uwanja wananchi wanaanika Udaga.
Kwani hapo Chato ni nchi ya kigeni?

Je! wananchi wale hawahitaji huduma ya Ndege?

Je!
Pamoja na kwamba Royal Tour sio Idea ya Samia bali Wamarekani.

Lakini kipi cha kujivunia ilichokileta mpaka sasa kwa nchi hii?

Je!
Wewe ukiwa kama mtanzania,hivi unajua kinachoendelea kwa sasa nchini?

Je!
Hata hiyo Royal Tour unayoisifia unaelewa kuna kashfa kubwa nyuma yake ambayo itakuja kumchafua huyo Samia huko tunakoelekea?

Kwa nini hujiulizi mbona inatumika nguvu ya ziada kusifia kitu ambacho hakipo ki vile tunavyoaminishwa?

Kuna mtalii yeyote ambae umeona video clip akiingia nchini kutalii na kusema kaja baada ya kuiona filamu ya Royal tour na hivyo kuvutiwa kuja nchini?

figganigga na wenzio mmefunikwa na ushungi na mnahemea kwenye kwapa huku mkizidi kulewa manukato.
Tokeni humo muwaze nje ya ushungi.
Mtakaa mnasifia huku wenzenu wakipiga mahela.

Na mkirudi nyumbani mnapitia dukani kukopa kwa ajili ya familia. View attachment 2252489
 
A

Amini hivyo ili ufurahi, lakini haimanishi ukiamini hivyo, basi inakuwa ni kweli...
Sasa Ile Gbadolite ya Tanzania ina kazi gani?Wasafiri wawili kwa mwezi?Haya ni matumizi mabaya na wizi wa mali za umma.The old boy was purely thief and conman!Say something!
 
Kwani hapo Chato ni nchi ya kigeni?

Je! wananchi wale hawahitaji huduma ya Ndege?

Je!
Pamoja na kwamba Royal Tour sio Idea ya Samia bali Wamarekani.

Lakini kipi cha kujivunia ilichokileta mpaka sasa kwa nchi hii?

Je!
Wewe ukiwa kama mtanzania,hivi unajua kinachoendelea kwa sasa nchini?

Je!
Hata hiyo Royal Tour unayoisifia unaelewa kuna kashfa kubwa nyuma yake ambayo itakuja kumchafua huyo Samia huko tunakoelekea?

Kwa nini hujiulizi mbona inatumika nguvu ya ziada kusifia kitu ambacho hakipo ki vile tunavyoaminishwa?

Kuna mtalii yeyote ambae umeona video clip akiingia nchini kutalii na kusema kaja baada ya kuiona filamu ya Royal tour na hivyo kuvutiwa kuja nchini?

figganigga na wenzio mmefunikwa na ushungi na mnahemea kwenye kwapa huku mkizidi kulewa manukato.
Tokeni humo muwaze nje ya ushungi.
Mtakaa mnasifia huku wenzenu wakipiga mahela.

Na mkirudi nyumbani mnapitia dukani kukopa kwa ajili ya familia. View attachment 2252489
Hizo "je...je...je..."zingefanyiwa kazi kabla "maliyemu" hajafanya ujinga wa kuijenga Ile "Gbadolite" ya Chato ingeleta maana!Saa hizi unataka ugomvi tu.Teh!
 
Sasa Ile Gbadolite ya Tanzania ina kazi gani?Wasafiri wawili kwa mwezi?Haya ni matumizi mabaya na wizi wa mali za umma.The old boy was purely thief and conman!Say something!
nimekwambia ukiamini kitu sio lazima kiwe cha kweli... endelea kujifurahisha nafsi yako kwa Hallucination...
 
Back
Top Bottom