figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Usishangae hata huo uliofanyika ulitokea nje haukuanzia hapaIlikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagema alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
DuhAlitaka kuajili wafungwa ili kupunguza uhaba wa askari magereza
Mimi sijamsema. Bali nimelinganisha mambo ya Kitaifa. Magufuli alidai anajenga Uwanja watalii watue moja kwa moja kwenda Mbunga ya chato. Sasa Uwanja wananchi wanaanika Udaga.Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Mwendazake alikuwa mtu katili asiye na huruma alimtembeza nape kwa miguuWakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu...
Mwendazake alijua Tour ya Burigi na Chato tu!Wakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu....
Kuna usemi unaosema utavuna ulichopanda.Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Kilicho dhahili ni kwamba nchi hii haijawahi kupata rais mwenye maono kama hayati magu.
Wote hao Wana mimba ya magufuli ya miezi 18.Wameshindwa kujifungua.Wana mapacha.Ndio maana unaona anaanzisha thread haina miguu wa kichwa.Kumbe mimba inasumbua.Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Lugha ilikuwa haipandiWakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu...
Alikuwa muuwaji, mtu muuwaji hafai kumbuka tukio la Kaini kumuua ndugu yake Abel.Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Kagame ametengezea hiyo kweli ba bado anautangaza utalii wake kupitia vilabu viwili ARSENAL FC & PSG pesa anayolipa arsenal ni $10m per year kule psg sijajua. Sasa ingekua kwetu ungesikia upigaji upigaji sijui kulamba asali. Utalii ukitangazwa shida usipotangazwa wanaita watu sio wabunifu. Kiukweli mama anaupiga mwingiWakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu...