Kungekuwa na madaraja pamoja na barabara za kutosha lakini tukiwa dhooflihali njaa kali, ufukara wa kutisha (mkunula in ntuzu language), viwanda kufungwa, wawekezaji kukimbia, wasiojulikana kila kata, kukosekana kwa ajira, biashara kufungwa, shetani kuhamia tz etc.