Nairobi inaafadhali Mkuu. Wanajitahidi.
Marehemu Kibonde wa mawinguni aliliita 'jiji kunuka'Wakuu Kwema!
Aisee! Baada ya kutoka kuzurura huko Duniani, sitaki kupataja nisijeonekana najikosha hapa, na wenye nongwa zao na vijiba vya roho wasije nitolea mvuke wa ushubwada. Ila ifahamike tuu nimetoka huko Dunia ilipo.
Kwa kweli Dar inanuka vibaya mno. Inanuka vitu mfano wa mavi, sijasema ni mavi jamani Ila ni Kama hivyo.
Yaani Asilimia kubwa ya Maeneo yananuka chemba za maji taka. Nashindwa Kueleza hapa. Sitaki kugombana na wenye DAR Yao, sitaki kabisa. Maana najua wapo wanayoipenda, ikumbukwe siiongelei Jambo hili Kwa ni mbaya lakini naongea ili Jambo Fulani lifanyike.
Alafu ukiwaona wakazi wa Dar ni Kana kwamba hawaisikii hiyo harufu, pengine wamekuwa sehemu ya harufu yenyewe, sijasema watu wa DAR mnanuka chemba za maji taka [emoji2][emoji2][emoji2]. Maana wenye hasira hamkosekani.
Hata hivyo akili yangu ikanambia sio rahisi watu WA DAR kuisikia hiyo harufu mbaya ya mavi Kwa maana maisha yao ni yataabu Sana. Taabu zimeua mishipa ya Nostril ndani ya pua. Hawezi kunususa tena.
Hasa watu masikini wapanda Daladala, hawa ndio wanaoonja joto ya jiwe,hata hivyo wenyewe ni Kama joto Hilo hawalisikii kwani taabu imewafubaza na kuwafanya waone kila kitu Kama kipo Sawa.
Kipindi nasoma pale Udsm wala sikuwa najua DAR inanuka, nimekaa zaidi ya miaka mitano Kama sio sita sikuwa naona hizo harufu. Labda Maeneo ya Tandale huko na viunga vya makazi ya WALIA NA MUNGU watu fukara apeche Alolo.
Najiuliza niliwezaje kuishi miaka mitano kipindi kile?
Nafikiri serikali ipitie tena miundombinu ya taka hasa mitaro ya maji taka ili mji usiwe jiji la harufu mbaya.
Wananchi wa Dar nanyi mjitahidi kuwa wasafi hata Kama mmezoea harufu yenu mbaya kumbukeni wageni Kama Sisi tunaotoka Duniani tunakujaga pia kuwasalimu.
Muwe na Haya hata kidogo.
Taikon nitakuwa DAR Kwa wiki tatu mfululizo kabla sijaenda kudhuru Zanzibar nikielekea kuchumbia Visiwa vya Comoro.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Mkuu umepita na bus au taxi maeneo ya Eastleigh?
Kuna mitaro imefukuliwa halafu matope yamewekwa pembeni
Sijui wanakausha ila watumie kwa kitu gani maana yanatoa harufu na watu kama ulivyoandika hapo juu
Wamezoea harufu
Na vyakula vinapikwa hapo hapo
Miji mingi Africa inanuka kwa kweli na Dar pananuka sana pia
Aliwahi kusema Mike Jackson kabla hujazaliwa akapuuzwa.
Na huko duniani ulipo we mpumbavu watu hawanyi?
Si tupo huko miaka kenda wa kenda na wanakunya harufu mbaya sana.
Swala bongo waongeze maji vyooni.
Hata mimi mara yangu ya pili kurud afrca na kufikia jiji la dar nkitokea LA nilikua nahisi haruf mbaya karibu maeneo yote lakin watu wao wanaona kawaida tu ikabd nivunge nisionekane na dharau.
Unajua hata ukitoka nje ukaingia toilet Kuna haruf flan hiv unaiskia alaf baada ya muda unakua hauhisi Tena nafkiri huu ndo mfano wa watu wa dar wako ndani ya choo kwahiyo hawahisi harufu Hadi watoke nje na warud Tena ndo wataamini jini lina nuka.
Sasa mwanangu nakusanua hiyo harufu we ipende kuivuta kwa sababu inaongeza nguvu za kiume.
Ni kweli kunanuka sana,Wakuu Kwema!
Aisee! Baada ya kutoka kuzurura huko Duniani, sitaki kupataja nisijeonekana najikosha hapa, na wenye nongwa zao na vijiba vya roho wasije nitolea mvuke wa ushubwada. Ila ifahamike tuu nimetoka huko Dunia ilipo.
Kwa kweli Dar inanuka vibaya mno. Inanuka vitu mfano wa mavi, sijasema ni mavi jamani Ila ni Kama hivyo.
Yaani Asilimia kubwa ya Maeneo yananuka chemba za maji taka. Nashindwa Kueleza hapa. Sitaki kugombana na wenye DAR Yao, sitaki kabisa. Maana najua wapo wanayoipenda, ikumbukwe siiongelei Jambo hili Kwa ni mbaya lakini naongea ili Jambo Fulani lifanyike.
Alafu ukiwaona wakazi wa Dar ni Kana kwamba hawaisikii hiyo harufu, pengine wamekuwa sehemu ya harufu yenyewe, sijasema watu wa DAR mnanuka chemba za maji taka [emoji2][emoji2][emoji2]. Maana wenye hasira hamkosekani.
Hata hivyo akili yangu ikanambia sio rahisi watu WA DAR kuisikia hiyo harufu mbaya ya mavi Kwa maana maisha yao ni yataabu Sana. Taabu zimeua mishipa ya Nostril ndani ya pua. Hawezi kunususa tena.
Hasa watu masikini wapanda Daladala, hawa ndio wanaoonja joto ya jiwe,hata hivyo wenyewe ni Kama joto Hilo hawalisikii kwani taabu imewafubaza na kuwafanya waone kila kitu Kama kipo Sawa.
Kipindi nasoma pale Udsm wala sikuwa najua DAR inanuka, nimekaa zaidi ya miaka mitano Kama sio sita sikuwa naona hizo harufu. Labda Maeneo ya Tandale huko na viunga vya makazi ya WALIA NA MUNGU watu fukara apeche Alolo.
Najiuliza niliwezaje kuishi miaka mitano kipindi kile?
Nafikiri serikali ipitie tena miundombinu ya taka hasa mitaro ya maji taka ili mji usiwe jiji la harufu mbaya.
Wananchi wa Dar nanyi mjitahidi kuwa wasafi hata Kama mmezoea harufu yenu mbaya kumbukeni wageni Kama Sisi tunaotoka Duniani tunakujaga pia kuwasalimu.
Muwe na Haya hata kidogo.
Taikon nitakuwa DAR Kwa wiki tatu mfululizo kabla sijaenda kudhuru Zanzibar nikielekea kuchumbia Visiwa vya Comoro.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Omba sana usiongozane nalo kwenye foleni, unawezakosa hewa kabisa.[emoji3][emoji3][emoji3] kuna lile gari nimezoea kuliona barabara ya Gomz- ukipishana na hili gari utazimia kabisa.
Karibu sana, baada ya wiki utaona pako sawa.