Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Ukilala njaa kwa ajili ya mwanamke mjinga
Sijui nikueke kundi lipi
Find something to eat plz
Mtoto ndo hana namna
You masai dada you are no serious.
Sena hapo mi namaanisha njaa sio NJAA ile ya kula chakula
 
Mbona hilo sio jibu baya....we ndo kuna kitu unakitafuta na utakipata
 
Kama unanyumba kubwa tafuta binti wa kazi Ila awe anavutia yani mrembo kidogo. Utanishukuru
 
Back
Top Bottom