Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Wakuu, iko hivi:

Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini ahakikishe anawahi kufunga ili ratiba zingine za nyumbani zisiharibike, maana anapenda sana kupika usiku, na nimeshamkataza mara nyingi kwa kuwa muda huo mtoto anakuwa amechoka na ana njaa. Tulikubaliana hivyo.

Natoka zangu kijiweni saa nne hivi na kufika nyumbani, lakini namkosa mtu yeyote. Nikampigia kujua tatizo ni nini, kwa nini bado yuko saloon ilhali mtoto ni mdogo na kuna mbu?

Akanieleza kuwa alikuta foleni. Nikamjibu, "Kama ulikuta foleni, kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri, wakati kesho nayo ni siku na hiyo si kitu cha lazima?"

Akanijibu, "Ndio hivyo sasa..." Wakuu, nilitaka nimfuate saloon nimzibue makofi, lakini akili ikaniambia nimchukue mtoto twende tukale chipsi. Huko nako kukawa na foleni, muda ukaenda hadi saa tano na mtoto hajala.

Kwa jibu lake hilo, nimepata tafsiri kwamba sasa ananiachia nione ninachofaa kufanya. Leo nimepanga, ikifika saa tano na anaanza kuwasha jiko, mimi nitalizima. Hapa hakuna kupika usiku huu; hii tabia lazima iishe. Mtu anakuwa na muda mwingi wa kujivuta, mpaka asukumwe ndio afanye kitu. Anapofungua duka saa moja, badala ya kuwahi, utaona anaanza na nguo chafu huku biashara haijaendelea. Huyu dawa yake inachemka, tuone kama atapata hata hela ya vocha. Nimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa, anunue kitololi ili niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nikikomaa na boda.
Naunukuu wimbo wa CCM
"ulimtaka mwenyewe ndundu🎶
Ukampenda menywe ndundu🎶
Wacha usome Namba eehh🎶
Matukio mbele kwa mbelex2🎶🤣utani

Mkuu kimsingi pangilia vizuri ratiba yenu. Ikiwezakana tafuta kijana mwenye uafadhali(maana huwezi Pata mtu muaminifu totally) akusaidie hapo kwenye biashara yako

Mwanamama akae home
 
Anachoka. Mume ajiongeze.
Kazi za nyumbani + mtoto mdogo + biashara + mume ahudumiwe kikamilifu!
Ndo maana anajivuta vuta ili vingine avikwepe
Hata kama ni kujivuta sio kwa namna hiyo anayofanya yeye, jivute kwa mume ila mtoto apate huduma kwa wakati. Saa 5 usiku ndio jiko linawashwa aanze kupika huyo mtoto si anakula kwa shida sana.
 
Ni umasikini tu unakusumbua. Mke afanye kazi dukani, alee mtoto, apike n.k. ungetafuta house girl nyumbani.
Hiv ulikua na maana gani au unapata nini kufabya personal attacks namna hii. UMASIKINI, jnamjua mwana hapo au una ego tu??
Suala la umasikini wa mtu au ukwasi linahusika vipi hapa? Yeye anaongelea order wewe unaleta finances how?
Hujui ni tamamduni za wengime kutotaka kabisa wasaidizi wa ndani???
Ama vipi ratiba za kusuka/saloon iwe J2. Siku ambayo hafungui duka.
Kwan ungeandika hiki tu kitu ambacho ni very constructibe, ungepungukiwa na nini?
 
Bado hamjajuana mkuu yaan wote watoto
Ahahahaha.
Usiseme hivyo mkuu. Hapo ndio kumjua.
Kuna mambo huwa tunayapuuzia sana mwanzo na kuyachukulia kama madogo tu ila kumbe ndio yanaonyesha undani wa mtu alioificha.
Huu ndo wakat wa kufanya uamuzi na mgumu mapema kabla hamjafikia kuzaa watoto wengi na kujenga au kuwa na mirad mingi ya pamoja kitu ambacho kitawafanya iwe ngum sana baadae mshkaji kuchukua hatua pindi hali ya adabu ya mwenza wake itakapo kuwa fully projected..
 
Wakuu, iko hivi:

Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini ahakikishe anawahi kufunga ili ratiba zingine za nyumbani zisiharibike, maana anapenda sana kupika usiku, na nimeshamkataza mara nyingi kwa kuwa muda huo mtoto anakuwa amechoka na ana njaa. Tulikubaliana hivyo.

Natoka zangu kijiweni saa nne hivi na kufika nyumbani, lakini namkosa mtu yeyote. Nikampigia kujua tatizo ni nini, kwa nini bado yuko saloon ilhali mtoto ni mdogo na kuna mbu?

Akanieleza kuwa alikuta foleni. Nikamjibu, "Kama ulikuta foleni, kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri, wakati kesho nayo ni siku na hiyo si kitu cha lazima?"

Akanijibu, "Ndio hivyo sasa..." Wakuu, nilitaka nimfuate saloon nimzibue makofi, lakini akili ikaniambia nimchukue mtoto twende tukale chipsi. Huko nako kukawa na foleni, muda ukaenda hadi saa tano na mtoto hajala.

Kwa jibu lake hilo, nimepata tafsiri kwamba sasa ananiachia nione ninachofaa kufanya. Leo nimepanga, ikifika saa tano na anaanza kuwasha jiko, mimi nitalizima. Hapa hakuna kupika usiku huu; hii tabia lazima iishe. Mtu anakuwa na muda mwingi wa kujivuta, mpaka asukumwe ndio afanye kitu. Anapofungua duka saa moja, badala ya kuwahi, utaona anaanza na nguo chafu huku biashara haijaendelea. Huyu dawa yake inachemka, tuone kama atapata hata hela ya vocha. Nimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa, anunue kitololi ili niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nikikomaa na boda.
Ameanza lini hiyo tabia?. Kama hakuwa nayo kabla,je,wewe umesababishaje kuibuka kwa tabia hiyo mpya ya mkeo?.
 
huyo demu ameshaanza kukuzalau, na ukiendelea kumbebisha siku atakuwa analiwa na anakudanganya yupo kwenye foreni saluni
Kuna mtu anaelekea kumtafuna huyo demu siku si nyingi na huyo mtu amemzidi maisha mwamba😁 kiufupi kashakubaliwa inatafutwa timming tu ya wao kuonana wakapigane "Engonga de Baltazar".

Kuna uwezekano hata hizo nywele anasuka kwa ajili ya huo mtoko wa kwenda kuliwa na muhuni huyo.
 
1731041786380.jpeg
 
Kwa umri wa wanangu kwa sasa inatakiwa saa 2 wawe wamekula chakula cha usiku.

Haijalishi kuna nini kimetokea
 
Mkuu kumsaidia mke siku moja moja sio mbaya.
Ni sahihi na ni jambo jema kabisa.
Mpe room bas ya mtu kufanya hivyo bila kum destruct mindset yake.

Kwan hiyo folen salon si aliiona?
Hiv kulikua na ugumu gani wa yeye kuchukua simu na kum text au hata kupiga na kueleza hii scenario kuwa hali sio nitachelewa naomba uji sort hapo home???.huoi kama ingempa uhuru wa ywye kuendelea kwa amani huko aliko hata kama sio salon na pia kumfanya jamaa pia atulie asifike huku?

Shida ni mazoea mabaya na kuchukuliana poa poa ndio hupelekea watu kufika huku.

Kuna ukwel mmoja tu kuhuau mwanaume "MWANAUME YEYOTE YULE HATA MTOTO MDOGO HAPENDI KUONYESHWA DHARAU"
Hii huwa inagusa straight ego ya mwanaume na hakuna anayeweza kutulia kwa hili.

Kinyume chake ni kwamba, hata ukitaka kumcheat mwanaume unavyotaka wewe, njia ni rahisi tu, USIMVUNJIE HESHIMA YAKE. YAN MUONYESHE HESHIMA TELE huku nyuma wewe unaendelea na mambo yako , wala hatakuja kugundua na akifanya hivyo basi ni baadae sana kashachelewa.

Mwanaume humuamin na hamfuatilii kwa mashaka mwanamke wake aliyeweka adabu mbele hata kama ni adabu ya maigizo tu.
Japo maigizo huwa tunayashtukiaga
 
Wakuu, iko hivi:

Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini ahakikishe anawahi kufunga ili ratiba zingine za nyumbani zisiharibike, maana anapenda sana kupika usiku, na nimeshamkataza mara nyingi kwa kuwa muda huo mtoto anakuwa amechoka na ana njaa. Tulikubaliana hivyo.

Natoka zangu kijiweni saa nne hivi na kufika nyumbani, lakini namkosa mtu yeyote. Nikampigia kujua tatizo ni nini, kwa nini bado yuko saloon ilhali mtoto ni mdogo na kuna mbu?

Akanieleza kuwa alikuta foleni. Nikamjibu, "Kama ulikuta foleni, kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri, wakati kesho nayo ni siku na hiyo si kitu cha lazima?"

Akanijibu, "Ndio hivyo sasa..." Wakuu, nilitaka nimfuate saloon nimzibue makofi, lakini akili ikaniambia nimchukue mtoto twende tukale chipsi. Huko nako kukawa na foleni, muda ukaenda hadi saa tano na mtoto hajala.

Kwa jibu lake hilo, nimepata tafsiri kwamba sasa ananiachia nione ninachofaa kufanya. Leo nimepanga, ikifika saa tano na anaanza kuwasha jiko, mimi nitalizima. Hapa hakuna kupika usiku huu; hii tabia lazima iishe. Mtu anakuwa na muda mwingi wa kujivuta, mpaka asukumwe ndio afanye kitu. Anapofungua duka saa moja, badala ya kuwahi, utaona anaanza na nguo chafu huku biashara haijaendelea. Huyu dawa yake inachemka, tuone kama atapata hata hela ya vocha. Nimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa, anunue kitololi ili niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nikikomaa na boda.
Naona hamkujiandaa kuwa na familia
 
Anachoka. Mume ajiongeze.
Kazi za nyumbani + mtoto mdogo + biashara + mume ahudumiwe kikamilifu!
Ndo maana anajivuta vuta ili vingine avikwepe
Sasa kukwepa jambo unakua hutatui , liwekee utaratibu.
Kwan unaishibna simba ? Huyo ni binadamu mwenzako ana feel kama wewe unapohisi kuchoka. Sasa ukimueleza kwa upendo na amani atakuelewa tu. Kwamba bwana naomba unisaidie nimechoka leo , it is understandable. Tatizo linakuja communicatinf issues between you two..usikae kimya kwa kuamini mwenzio ataelewa tu
 
Back
Top Bottom