Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

....muwahusieni wake zeni kheri,wanawake ni ubavu uliopinda ukitaka kuwanyoosha kwa nguvu utauvunja....

....ishi nao kwa akili...

.....Mtu mzima hafundishwi tabia...

....mwisho mabadiliko yoyote kwenye familia yanaanza na wewe mwanaume..
 
Ni umasikini tu unakusumbua. Mke afanye kazi dukani, alee mtoto, apike n.k. ungetafuta house girl nyumbani.

Ama vipi ratiba za kusuka/saloon iwe J2. Siku ambayo hafungui duka.
Hayo unayo yaona wewe ni tabu kwake, kama angekua anayafanya house girl tambua mapenzi ya jamaa yange hamia moja kwa moja kwa huyo msaidizi.

Hapo tatizo ni mke au wote wawili hawana mipangilio mizuri.katika taratibu zao za kila siku.
 
Au apige chini?
Hiyo tabia kaipalilia mwenyewe, aifyeke asipobadilika apige chini. Huyo mkewe ana ugonjwa wa kutokuyajua na kuyaheshimu majukumu yake kwa kuzingatia muda. Yeye anafanya ilimradi kafanya bila kujali muda.

Kama alivyoanza nae mahusiano alimzoesha chips kavu ndio tatizo lilipoanzia.
 
Hiyo tabia kaipalilia mwenyewe, aifyeke asipobadilika apige chini. Huyo mkewe ana ugonjwa wa kutokuyajua na kuyaheshimu majukumu yake kwa kuzingatia muda. Yeye anafanya ilimradi kafanya bila kujali muda.

Kama alivyoanza nae mahusiano alimzoesha chips kavu ndio tatizo lilipoanzia.
Mkuu kumsaidia mke siku moja moja sio mbaya.
 
Wakuu,,yaani iko hivii,,.wife alikuwa na ratba ya saloon...hii kitu alilazimisha ile mbaya mnooo..,,lakini sikutaka kumkatili nikamuelekeza tu basi atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani...
Gentleman,
kwanini hekima na busara isikuelekeze tu kwamba saloon kwenye kusuka shemeji alikuta foleni, busara ikamueleze asubiri..

Hata wewe ulipomchukua mtoto mkaenda kwenye chips nako wewe mwenywe ukashuhudia foleni ya nguvu, ila busara ikakuelekeza uachane nazo.

Huoni hapo tatizo ni utofauti wa uvumilivu, ustahimilivu, na subra baina yenu dhidi ya mambo binafsi tu?

Nadhani ukitumia Hekima na Busara vizuri kuasses kilichotokea, huwezi kufura wala kua na hasira za kuchukua uamuzi huo wa fedheha ulopanga dhidi ya mkeo mpenzi 🐒
 
Back
Top Bottom