Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Mkuu..mfatillie huyo hawa viumbe hawa aminiki skuiz ..kusuka na mtoto kipi mhmu kwanza ana suka kumvutia nan..

Wesimume wake muwashie moto kweli kweli kama ana kuheshimu mwambie anyoe akikubali bhs anakuheshimu..

Kuna mwamba alimfungulia mke duka mteja kanunua kaondoka naye mazima..mpaka kesho
 
Mimi mke wangu alipojifungua mtoto wa kwanza alipotoka malezi ya kichanga aliniambia nimpeleke salon ninayonyoa nywele akaondoe nywele zake kwa sababu ya mtoto.

Kumuuliza akasema anataka muda wote awe msafi na anataka awe serious na malezi so mpaka leo miaka 12 na watoto watatu vichwani tunafanana style ya unyoaji,mleta mada ukimwambia mkeo nae akanyoe ndoa yako itakuwa mashakani cha kufanya mpangie ratiba ya weekend kwenda huko salon.
 
Mafwele kwa kujifanya mshauri 😂😂 ila kwako unakuwa mbogo.
Gentleman,
kwa ninavyo fahamu, mihemko wanayo nyumbu pekeyake huko musituni.

huku uraiaini sijui mnapataga wapi ghadhab na hasira za kutaka kuact kama manyumbu, dah..

ukiwa na elimu ya kutosha unakua very fast kuasses advantages and disadvantages za uamuzi wako, then hekima na busara zinakuelekeza pema zaidi 🐒
 
Red flag
Wakuu,,yaani iko hivii,,.wife alikuwa na ratba ya saloon...hii kitu alilazimisha ile mbaya mnooo..,,lakini sikutaka kumkatili nikamuelekeza tu basi atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukaniimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa ninunue na kitololi niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nakomaa na boda.
 
Wakuu, iko hivi:

Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini ahakikishe anawahi kufunga ili ratiba zingine za nyumbani zisiharibike, maana anapenda sana kupika usiku, na nimeshamkataza mara nyingi kwa kuwa muda huo mtoto anakuwa amechoka na ana njaa. Tulikubaliana hivyo.

Natoka zangu kijiweni saa nne hivi na kufika nyumbani, lakini namkosa mtu yeyote. Nikampigia kujua tatizo ni nini, kwa nini bado yuko saloon ilhali mtoto ni mdogo na kuna mbu?

Akanieleza kuwa alikuta foleni. Nikamjibu, "Kama ulikuta foleni, kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri, wakati kesho nayo ni siku na hiyo si kitu cha lazima?"

Akanijibu, "Ndio hivyo sasa..." Wakuu, nilitaka nimfuate saloon nimzibue makofi, lakini akili ikaniambia nimchukue mtoto twende tukale chipsi. Huko nako kukawa na foleni, muda ukaenda hadi saa tano na mtoto hajala.

Kwa jibu lake hilo, nimepata tafsiri kwamba sasa ananiachia nione ninachofaa kufanya. Leo nimepanga, ikifika saa tano na anaanza kuwasha jiko, mimi nitalizima. Hapa hakuna kupika usiku huu; hii tabia lazima iishe. Mtu anakuwa na muda mwingi wa kujivuta, mpaka asukumwe ndio afanye kitu. Anapofungua duka saa moja, badala ya kuwahi, utaona anaanza na nguo chafu huku biashara haijaendelea. Huyu dawa yake inachemka, tuone kama atapata hata hela ya vocha. Nimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa, anunue kitololi ili niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nikikomaa na boda.
Tafuta hausi gelo😂😂😂😂
 
Kuna wimbo moja unaimbwa hivi huyo ni. "Chaguo lako " Ata kama ni mvivu ni "🤣🎼🎼🎶Chaguo lako"
 
Back
Top Bottom