Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Kama mwanamke kuna muda unachoka hasa kama una majukumu mengi na huna msaidizi.
Aliendelea kubaki salon sababu alijua wewe ni baba utajiongeza kwa mtoto wenu.
 
Kama mwanamke kuna muda unachoka hasa kama una majukumu mengi na huna msaidizi.
Aliendelea kubaki salon sababu alijua wewe ni baba utajiongeza kwa mtoto wenu.
Hii ni rahisi kutafsiriwa kama dharau, kuna shida gani akasema waz kuwa hajisikii vizuri??
 
Labda alimjibu kwa kumshangaa mume wake ambaye huenda anajua situation zilivyo. Na story ni upande mmoja mtu hawez fanya aonekane yeye mbaya
Sisi tujadili kwa upande huo huo mmoja maana ndio tuliopewa 😂
Hapa kwenye kumshangaa kwa kujua situation nyie wenzetu ndio huwa mnakosea. Communicate issues kuna shida gani tu angem text au ku call kuwa "i will late hapa situation ni 1, 2 3"??
 
huyo mkeo ana kisirani na utoto bado unamsumbua. mpe misimamo yako haraka sana kama baba wa familia, vinginevyo atakutafutia mme mwenzio soon, na hayo mambo yao ya huko saluni utamkosa.
nb. saluni za kike ni chuo kikuu cha umalaya.
 
Wakuu, iko hivi:

Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini ahakikishe anawahi kufunga ili ratiba zingine za nyumbani zisiharibike, maana anapenda sana kupika usiku, na nimeshamkataza mara nyingi kwa kuwa muda huo mtoto anakuwa amechoka na ana njaa. Tulikubaliana hivyo.

Natoka zangu kijiweni saa nne hivi na kufika nyumbani, lakini namkosa mtu yeyote. Nikampigia kujua tatizo ni nini, kwa nini bado yuko saloon ilhali mtoto ni mdogo na kuna mbu?

Akanieleza kuwa alikuta foleni. Nikamjibu, "Kama ulikuta foleni, kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri, wakati kesho nayo ni siku na hiyo si kitu cha lazima?"

Akanijibu, "Ndio hivyo sasa..." Wakuu, nilitaka nimfuate saloon nimzibue makofi, lakini akili ikaniambia nimchukue mtoto twende tukale chipsi. Huko nako kukawa na foleni, muda ukaenda hadi saa tano na mtoto hajala.

Kwa jibu lake hilo, nimepata tafsiri kwamba sasa ananiachia nione ninachofaa kufanya. Leo nimepanga, ikifika saa tano na anaanza kuwasha jiko, mimi nitalizima. Hapa hakuna kupika usiku huu; hii tabia lazima iishe. Mtu anakuwa na muda mwingi wa kujivuta, mpaka asukumwe ndio afanye kitu. Anapofungua duka saa moja, badala ya kuwahi, utaona anaanza na nguo chafu huku biashara haijaendelea. Huyu dawa yake inachemka, tuone kama atapata hata hela ya vocha. Nimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa, anunue kitololi ili niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nikikomaa na boda.
'Ndivyo hivyo sasa' ni neno la kufunga mjadala kumaanisha yashatokea hauwezi kuyarudisha nyuma.

Halafu mkuu, huoni aibu kuja kusimulia jamvini ratiba za kawaida za maisha ya kila siku ya familia?

Mnashindwaje kusomana na mkeo na kisha kutengeneza ratiba za kuendesha maisha yenu zenye tija?

Na mpaka leo haujui cha kufanya mkeo anapokwenda kinyume na maagizo yako?

Uwe unakuja basi kutuuliza hata mambo mengine ya chumbani kwenu, ili tukushauri cha kufanya.
 
Muwe mnahudhuria semina za familia, ndoa na mahusiano wakuu. Huko makanisani kwenu hakuna hivyo vitu kweli? Tunaweza kudharau lakini ninavyoona baadhi yetu tunakosa basics za namna ya kuishi na wenza wetu, we play try and error kuendesha ndoa.
 
Sielewagi mwanamke anaenuacha mtoto is ake na njaa
Bora umuache mwanaume na njaa

Kwanini hajali mtoto wake wa kumzaa
Alitakiwa ajipange kiratiba
Yaani haijalishi situation ya namna gani mtoto anatakiwa ale kwa wakati huko ni kumyanyasa mtoto
 
Wakuu, iko hivi:

Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini ahakikishe anawahi kufunga ili ratiba zingine za nyumbani zisiharibike, maana anapenda sana kupika usiku, na nimeshamkataza mara nyingi kwa kuwa muda huo mtoto anakuwa amechoka na ana njaa. Tulikubaliana hivyo.

Natoka zangu kijiweni saa nne hivi na kufika nyumbani, lakini namkosa mtu yeyote. Nikampigia kujua tatizo ni nini, kwa nini bado yuko saloon ilhali mtoto ni mdogo na kuna mbu?

Akanieleza kuwa alikuta foleni. Nikamjibu, "Kama ulikuta foleni, kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri, wakati kesho nayo ni siku na hiyo si kitu cha lazima?"

Akanijibu, "Ndio hivyo sasa..." Wakuu, nilitaka nimfuate saloon nimzibue makofi, lakini akili ikaniambia nimchukue mtoto twende tukale chipsi. Huko nako kukawa na foleni, muda ukaenda hadi saa tano na mtoto hajala.

Kwa jibu lake hilo, nimepata tafsiri kwamba sasa ananiachia nione ninachofaa kufanya. Leo nimepanga, ikifika saa tano na anaanza kuwasha jiko, mimi nitalizima. Hapa hakuna kupika usiku huu; hii tabia lazima iishe. Mtu anakuwa na muda mwingi wa kujivuta, mpaka asukumwe ndio afanye kitu. Anapofungua duka saa moja, badala ya kuwahi, utaona anaanza na nguo chafu huku biashara haijaendelea. Huyu dawa yake inachemka, tuone kama atapata hata hela ya vocha. Nimepanga nimtafute chalii kutoka mkoa, anunue kitololi ili niwe nawasambazia maji mwenyewe huku nikikomaa na boda.
Maana yake alishaamua na huna cha kufanya. Yaani akifikia hapo humo ndani ninyi wote ni wanaume.
 
Sielewagi mwanamke anaenuacha mtoto is ake na njaa
Bora umuache mwanaume na njaa

Kwanini hajali mtoto wake wa kumzaa
Alitakiwa ajipange kiratiba
Yaani haijalishi situation ya namna gani mtoto anatakiwa ale kwa wakati huko ni kumyanyasa mtoto
Kwahyo bora mimi mumewe aniache njaa are serious
 
Back
Top Bottom