Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Ukilala njaa kwa ajili ya mwanamke mjinga
Sijui nikueke kundi lipi
Find something to eat plz
Mtoto ndo hana namna
You masai dada you are no serious.
Sena hapo mi namaanisha njaa sio NJAA ile ya kula chakula
 
Hahaha 🀣 dah kweli nimezeeeka sikuelewa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana ujafikia huko bana.....
Ila ndo hivo vijana ukitoa mawazo ya namna hiyo linabaki fuvu tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sema madam unatia watu hasira kweli an daaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Kijana nataka kupumzika tuma hiyo account haraka kijana wangu afanye muamala
 
Mbona hilo sio jibu baya....we ndo kuna kitu unakitafuta na utakipata
 
Kama unanyumba kubwa tafuta binti wa kazi Ila awe anavutia yani mrembo kidogo. Utanishukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…