Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kijana nipe bank account namba yakoMi nasemaga utani utani hv hv ila kuulizw mwenzako sema sijui kama yupo humu..
Alikua hvo hvo kama wewe ila kwa saaa kashajifunza kitu...
Ni misumari time tuuu
You masai dada you are no serious.Ukilala njaa kwa ajili ya mwanamke mjinga
Sijui nikueke kundi lipi
Find something to eat plz
Mtoto ndo hana namna
Sema madam unatia watu hasira kweli an daaah ππππππππππππππKijana nipe bank account namba yako
Hahaha π€£ dah kweli nimezeeeka sikuelewaYou masai dada you are no serious.
Sena hapo mi namaanisha njaa sio NJAA ile ya kula chakula
ππππHahaha π€£ dah kweli nimezeeeka sikuelewa
Kijana nataka kupumzika tuma hiyo account haraka kijana wangu afanye muamalaSema madam unatia watu hasira kweli an daaah ππππππππππππππ
Nimetuma PM madamKijana nataka kupumzika tuma hiyo account haraka kijana wangu afanye muamala
Nimetuma pesa kijanaπΉNimetuma PM madam
Alafu we madam kuna siku takutukana matusi makubwa makubwa ,ππππππππNimetuma pesa kijanaπΉ
Hahaha sanaaππππ
Hapana ujafikia huko bana.....
Ila ndo hivo vijana ukitoa mawazo ya namna hiyo linabaki fuvu tuu πππ