Hivi hii tabia ya wizi ni kwa watanzania tu au duniani kote

Hivi hii tabia ya wizi ni kwa watanzania tu au duniani kote

oko majimaji

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2016
Posts
790
Reaction score
2,079
Natumai wazima.

Unakuta kijana kaangaika miaka kibao kutafuta ajira tena na maombi ya kutosha kwa Mungu lakini baada tu ya kupata ajira anaanza kuangalia mwanya au udhaifu upo wapi ili apige na yeye akanunue kigari atambe mjini alafu wenyewe wanaita et marupurupu wakati huu ni wizi. Hii tabia ndo inatufanya watanzania tusiendelee.

Nimeongea hivi kwa sababu kuna kijana wiki iliyopita kadakwa kwa huo mchezo.
 
Natumai wazima.

Unakuta kijana kaangaika miaka kibao kutafuta ajira tena na maombi ya kutosha kwa Mungu lakini baada tu ya kupata ajira anaanza kuangalia mwanya au udhaifu upo wapi ili apige na yeye akanunue kigari atambe mjini alafu wenyewe wanaita et marupurupu wakati huu ni wizi. Hii tabia ndo inatufanya watanzania tusiendelee.

Nimeongea hivi kwa sababu kuna kijana wiki iliyopita kadakwa kwa huo mchezo.
Kwani wizi na biashara ya drugs tofauti ni nini,wanasiasa wenyewe wanatupiga nani wewe mpaka uwe muungwana
 
Natumai wazima.

Unakuta kijana kaangaika miaka kibao kutafuta ajira tena na maombi ya kutosha kwa Mungu lakini baada tu ya kupata ajira anaanza kuangalia mwanya au udhaifu upo wapi ili apige na yeye akanunue kigari atambe mjini alafu wenyewe wanaita et marupurupu wakati huu ni wizi. Hii tabia ndo inatufanya watanzania tusiendelee.

Nimeongea hivi kwa sababu kuna kijana wiki iliyopita kadakwa kwa huo mchezo.
Ni bongo tu
 
Kalagabaho we endelea usiibe aisee pigabkazi, usile rushwa wala kutoa hongo, tunataka vijana kama nyie lakini mimi nafuata ushauri na mifano ya wanasiasa so tupo njia tofauti usikasirike ukiona nimemaliza gorofa yangu ndani ya mwaka mmoja na biashara kadhaa zikinyanyuka we endelea na uzalendo nyie ndio tunaowategemea kusimama na hii nchi mpaka mfe safi Sana kijana wa mifano.
 
Wizi ni tabia ambayo mtu anaathirika nayo tokea katika malezi yake,
Mtu anaweza akawa na milioni ila akiona elfu 5 sehemu ataiiba coz wizi ni tabia yake,
Unakuta mtu ana cheo kikubwa tu na ana mshahara mzuri tu ila bado anaiba!

Hii tabia kuikomesha,inatakiwa hatua zianze kuchukuliwa kuanzia katika ngazi ya familia,pale mtoto anapozaliwa na katika makuzi yake,

Bongo uaminifu ni almost hakuna kabisa,kama bado wapo watu waaminifu basi ni watu wachache sana.
 
Back
Top Bottom