Hivi hii timu ya Ac Milan inamashabiki kweli

Hivi hii timu ya Ac Milan inamashabiki kweli

Washabiki sehemu gani? Umefika Italia ndiyo ukasema haina nashabikia?
Hivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja haina
Timu imechukua Uefa mara saba utasema hauna haina mashabiki? Kwa Yanga na simba zina uwanja?
 
Washabiki sehemu gani? Umefika Italia ndiyo ukasema haina nashabikia?
Timu imechukua Uefa mara saba utasema hauna haina mashabiki? Kwa Yanga na simba zina uwanja?
Yanga na simba ni timu kubwa duniani mkuu unaakili timamu
 
Ac Milan na inter Milan, ni kilabu za mpira kongwe kubwa Ulaya na duniani kiliko Arsenal Mancity au Manchester United, ni vijana walio anza kuelewa mpira majuzi baada ya kuja town kwa shemeji zao, ndo wanao ibeza hizo timu kongwe,......hapa Tanzania huenda aina mashabiki kwasababu wengi ni marubukeni wa mpira wa simba na Yanga kwa mfano mliki wa Ac Milani Barasconi waziri mkuu staafu wa Italy
Naunga mkono hoja huyu kaanza kufatilia mpira juzi
 
Wajuaji bhana mkibanwa kwenye hoja hua mnarukaruka kwani Mimi nimekuambia arsenal ni Bora we itakua unatatizo laakili
Sasa hoja yako ni dhaifu sana na utaendelea kuonekana hauna akili ukisema Associazione Calcio Milan Haina mashabiki
 
Umepaniki relax amigo pm yangu ipo wazi leta no yako nikupe hela ya kula mchana wa Leo mtoto mdogo wewe
Nimekuuliza swali unasema nimepaniki wewe shemeji Yako hua anakupa hela ya kula Mimi kweli mtoto mdogo ila wewe ni kubwa jinga
 
Wewe huna unalojua zaidi ya kurukaruka nenda kagoogle
Unatatizo kubwa sana mwanangu 😀😃😀😀😀😀 Associazione Calcio Milan unasema Ina mashabiki wachache kama wewe kidume lete arsenal yako hapa San Siro sasa
 
Unatatizo kubwa sana mwanangu 😀😃😀😀😀😀 Associazione Calcio Milan unasema Ina mashabiki wachache kama wewe kidume lete arsenal yako hapa San Siro sasa
Mkuu wewe itakua kubwa jinga naomba mungu nisiwe na akili kama zako nikiwa mzee
 
Nimekuuliza swali unasema nimepaniki wewe shemeji Yako hua anakupa hela ya kula Mimi kweli mtoto mdogo ila wewe ni kubwa jinga
Sasa mwanetu mpira ukianza kufatilia ukubwana hili ndio tatizo inawezekana huna akili nimekwambia njoo pm nikupe hela ya kula hautaki
 
Mkuu wewe itakua kubwa jinga
20241225_172116.jpg
 
Back
Top Bottom