Mzee wa totozUnamjua Silvio Berlusconi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa totozUnamjua Silvio Berlusconi?
Timu kijana ndio ipi iyoAc Milan sio timu kubwa ni timu kongwe imezeeka
SijuiTimu kijana ndio ipi iyo
Vizuri mno mkuu ndio timu yangu pendwa japo mie ni shabiki wa Associazione Sportiva RomaWe unaijua
Timu nyingi za ulaya zina miaka 50+Sijui
Unaweza kunitajia first eleveni yake ikiwa inacheza mechi ya kwanza tangia ianzishweVizuri mno mkuu ndio timu yangu pendwa japo mie ni shabiki wa Associazione Sportiva Roma
Bwana ranieri amekuja kujaribu ifufua.Vizuri mno mkuu ndio timu yangu pendwa japo mie ni shabiki wa Associazione Sportiva Roma
ExactlyBwana ranieri amekuja kujaribu ifufua.
Mkuu naomba first eleven ya Milan ikicheza mechi ya kwanza tangia ianzishwe 1899 na unitajie ikicheza na nani mkuuExactly
Nashangaa Haina mashabiki wengi zaidi ya pale italiaWee unaijua the great milan side of late 1980's ya bwana arrigho sacchi?
One of the greatest teams to have ever played football on this planet ata ile barca ya pep haikuifikia hiyo milan
Unaweza kunitajia first eleveni yake ikiwa inacheza mechi ya kwanza tangia ianzishwe
Aya bana mzee wa "believe"Exactly
Tupo wengi Sana ukisema hivyo unakosea mnoNashangaa Haina mashabiki wengi zaidi ya pale italia
Wee ulishatembea dunia nzima ukaona haina mashabikiNashangaa Haina mashabiki wengi zaidi ya pale italia
Uliangalia hiyo mechi live mkuuSquad
Demetrio Albertini
Francesco Antonioli
Carlo Ancelotti
Franco Baresi
Walter Bianchi
Massimiliano Cappellini
Angelo Colombo
Alessandro Costacurta
Roberto Donadoni
Stefano Eranio
Filippo Galli
Giovanni Galli
Corrado Giannini
Ruud Gullit
Arrigo SacchiCoach
Fabio Lago
Christian Lantignotti
Paolo Maldini
Graziano Mannari
Daniele Massaro
Roberto Mussi
Davide Pinato
Frank Rijkaard
Mauro Tassotti
Marco van Basten
Matteo Villa
Pietro Paolo Virdis
Fabio Viviani
Sasa hapo unaleta utotoUliangalia hiyo mechi live
Nijibu swali utoto Gani uliangalia hiyo mechi live we si umesema unaijua ac milanSasa hapo unaleta utoto
Ndio maana huijui hiyo timu masta 😀 😀 sasa mie miaka ya 1800 huko nilikuwepo ndio maana hiyo timu unayo shabikia Haina hata UEFA hata Moja vaffan__loNijibu swali utoto Gani uliangalia hiyo mechi live we si umesema unaijua ac milan
Sasa mkuu mbona hunijibu swali uliangalia hiyo mechi live we si umesema unaijua ac Milan au na wewe umeenda kugoogleNdio maana huijui hiyo timu masta 😀 😀 sasa mie miaka ya 1800 huko nilikuwepo ndio maana hiyo timu unayo shabikia Haina hata UEFA hata Moja vaffan__lo