rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Mimi na wewe uliyeanzisha mada nani hajielewi?Hujielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na wewe uliyeanzisha mada nani hajielewi?Hujielewi
HujielewiMimi na wewe uliyeanzisha mada nani hajielewi?
Kula ugali wako na mandondo, ulale tu.wewe shabikia Simba na Yanga, AC Milan sio level yako 😀 😀 😀 😀 😀Hivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja haina
chizi wewe mtoto wa 2000 hamna unachojua kuhusu AC MILAN Kula maboga utulieHivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja haina
We kubwa jinga unajua nini ndio uelezee maana umeshazeekachizi wewe mtoto wa 2000 hamna unachojua kuhusu AC MILAN Kula maboga utulie
akili huna dogo janja unaropoka sanaWe kubwa jinga unajua nini ndio uelezee maana umeshazeeka
Tunaweza kuwa tunabishana na mgonjwa wa akili hakajui kitu halafu kanajifanya kanajua.akili huna dogo janja unaropoka sana
Kama yeye mzee unataka ashabikie timu gani?We unashabikia hiyo timu ya wazee
Man UTD inaelekea huko hukoHivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja haina
Sio inaelekea hiyo nayo ni tayariMan UTD inaelekea huko huko
Lipuli mashabiki itoe wapi?😂Hata lipuli inamashabiki
Nenda iringa vijijiniLipuli mashabiki itoe wapi?😂
Ac Milan imeanzishwa 1899 wewe ulikua umezaliwaWatoto WA ALFUMBILI mnatuharibia jukwaa la sports
Mmmhh Mashabiki wa simba na yanga wanakua mashabiki wa lipuli kama lipuli ikicheza na team ya kijiji kingineNenda iringa vijijini
Toa MAn U hapo, Kipindi Inter na AC wanatawala Soka la Ulaya Miaka ya 60 Man U naye yupo same level AC anabeba 63, Inter 65 man U 66 etc. Unless hujui Kizazi cha kina Charlton.Ac Milan na inter Milan, ni kilabu za mpira kongwe kubwa Ulaya na duniani kiliko Arsenal Mancity au Manchester United, ni vijana walio anza kuelewa mpira majuzi baada ya kuja town kwa shemeji zao, ndo wanao ibeza hizo timu kongwe,......hapa Tanzania huenda aina mashabiki kwasababu wengi ni marubukeni wa mpira wa simba na Yanga kwa mfano mliki wa Ac Milani Barasconi waziri mkuu staafu wa Italy
Kuna siku wamekuchania mkeka?Hivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja haina
Nenda iringa vijijini huko hawazijui simba na yanga usifikiri hii nchi Kila mtu anazijua simba na yangaMmmhh Mashabiki wa simba na yanga wanakua mashabiki wa lipuli kama lipuli ikicheza na team ya kijiji kingine