Hivi hii timu ya Ac Milan inamashabiki kweli

Sasa mwanetu mpira ukianza kufatilia ukubwana hili ndio tatizo inawezekana huna akili nimekwambia njoo pm nikupe hela ya kula hautaki
Mimi bado mtoto kama ulivyoniita ila wewe ni kubwa jinga
 
Kama Uilvyofanikiwa Kuuliza Humu Kwenye Jukwaa La Jamii,,Fanya Vivyo Hivyo Kutafuta Walau Machache,Kama Si Mengi Kwenye Majukwaa Mengine Ya Kimitandao Ya Kijamii.Naamini Utajifunza Kitu Walau Kwa Uchache Wenye Kushangaza Kustaajabisha,,Na Kufurahisha Mnoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…