ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sio June 2030 acha kupotosha ,ni June 2024Hiyo kitu mpk june 2030 bongo nyoso.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio June 2030 acha kupotosha ,ni June 2024Hiyo kitu mpk june 2030 bongo nyoso.
Mbaya zaidi ukiwaambia ukweli wanakuwa wakali kweli kweli. Well, Socrates aliwahi kusema "The only true wisdom is in knowing you know nothing." Wabongo noma. Muda wote wanadhani wanajua na ndiyo maana tuko hapa.Tanzania yenye Majuha ( Morons ) kama Wewe kupata Maendeleo ni Ndoto za Alinacha
Aliyetuita MAITI wala hakukosea Mkuu.Nimeamini watanzania sisi ni mazezeta certified dimwits
Haiwezekani zaidi ya masaa 12 tunakosa umeme na tunaona sawa tu,lazima kuna fyuzi zitakuwa zmekata sehemu sio bure .
Your a damn Fool.Ok hayo ndio majibu ya serikali wewe unatakaje sasa
Ndio italeta umeme? 😆😆Your a damn Fool.
Ndo kusema Bunge ni mwakilishi wa Serikali na si wetu raia tena?? Uchaguzi hauko mbali, tutawafedhehesha hadharani!!!South Africa Kuna mgao,Nigeria Kuna Mgao sembuse Tanzania?
Waziri amesema mwisho wa mgao ni machi ila Bunge likatoa mda zaidi kwamba Hadi June kusiwe na mgao tena.
Spika Tulia: Bunge linataka mgao wa Umeme mpaka Juni uishe
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha. "Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili...www.jamiiforums.com
Wewe ulitaka Bunge lifanyaje? Umeme sio siasa kama haupo ni haupo na kupata Inachukua mda.Ndo kusema Bunge ni mwakilishi wa Serikali na si wetu raia tena?? Uchaguzi hauko mbali, tutawafedhehesha hadharani!!!
We jamaa nahisi ntakua nakufahamu. Katika maisha yangu nimekutana na mtu mmoja tu mwenye arguments za aina hii.
Yaani utetezi wako ni sawa na mwanafunzi anaepata 30% kwenye mtihani, halafu akiulizwa kwanini amefeli anajibu "mbona Juma kapata 20%, Ali kapata 15% na James kapata 10%, sembuse mimi?" Badala ya kujilinganisha na Hamza aliepata 85%, Hassan aliepata 90%, Esta 78% nk.
Mwaka 2040Tanesco wanadai walisema mgao mwisho February 16 ila awakusema mwaka upi
Walisema mvua kubwa inayonyeshaHii nchi hata wananchi wake ni kama wamerogwa, hawako serious, tuliambiwa sababu ya mgawo wa umeme ni upungufu wa maji kwenye mabwawa, bahati nzuri mvua zimenyesha nchi nzima tena za kutosha, sasa wameanza sarakasi zingine. Nchi zingine upumbavu kama huu usingevumilika. Hii serikali ya awamu ya 6 kuna maeneo imefeli pakubwa sana.
Na ikifika June mtaaambiwa syo June hii ya 2024 ni June ya 2025...Sio June 2030 acha kupotosha ,ni June 2024
Sawa bunge halina cha kufanyaWewe ulitaka Bunge lifanyaje? Umeme sio siasa kama haupo ni haupo na kupata Inachukua mda.
Ukitaka kuwafahamu watanzania tukoje angalia maandamano ya dar na mwanza utapata jibu,mano yako ulio yaandika kuhusu majibu ya mke wa mfarume yanatia simanzi kwenye [emoji3590] umenikumbusha mwigilu nchemba wakati wa tozo bila haya alisema wanao ona tozo inawabana wahamie burundiRais Samia alituambia kwa uhakika kuwa hadi Mwezi ujao Machi Mgawo hautokuwepo tena na TANESCO nao wakasema hadi Mwezi huu wa Februari kutakuwa hakuna tena Mgawo wa Umeme na hatimaye jana nimesikia ( labda niwe nimesikia vibaya ) kuwa sasa Mgawo wa Umeme tutaenda nao na utaisha Mwezi June,. 2024.
Taifa lenye Watu Werevu na Wanaojitambua na Baba wa Mapinduzi duniani la Ufaransa ( France ) mwaka 1789 Raia ( Wananchi wa nchi hiyo ) walifanya Mapinduzi makubwa yaliyoibadili Ufaransa na kuleta Adabu kwa Watawala wa Taifa baada ya Bei ya Mikate iliyokuwa ikiliwa na Watu wengi wa Kawaida ( Masikini ) kama GENTAMYCINE huku kwa Dharau Kubwa Mke wa aliyekuwa Mfalme ( Kiongozi ) wa Ufaransa King Louis XV1 aitwae Marie Antoinette akiwaambia Wafaransa kwa Kejeli kuwa kama wanaona Bei ya Mkate ni Kubwa basi wanunue / wale Keki ambayo ni ya Gharama Kubwa na wanaomudu kula Keki ni Matajiri pekee.
Taifa lenye Watu ( Raia ) wa hovyo hovyo ( Going Goi ) popote pale duniani ( Tanzania haimo kwani ina Watu Werevu na Rais Mchapakazi kuliko wote duniani ) hata wakiwa wanakatiwa Umeme, bei ya Sukari kuwa juu, Maji yakiwa ni ya Mgawo,. Mfumuko wa bei kuwa juu, Elimu yao kuwa Duni na wanatumia Siku Tatu, Tano hadi hata Saba za Kumsifu na Kumuombea Fisadi Mfalme na Mafia kamwe usitegemee likawa na Maendeleo sana sana Taifa hilo kila Siku tu litakuwa linaongeza Wajinga na Wapumbavu.
Natamani sana kumjua ni Rais gani wa Afrika ( sasa Mstaafu aliyekuwa na Sifa ya kutokuwa na Akili ila aliyekuwa na Sifa ya Usanii ) kwa Dharau kabisa aliambiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame 'Genius, Military and Intelligence Expert' kuwa ANAONGOZA MAITI ndiyo maana WANAWAFANYA watakavyo.