Hivi hii ya Mgawo wa Umeme kuendelea hadi June 2024 nimeisikia mahala jana peke yangu tu au?

Hivi hii ya Mgawo wa Umeme kuendelea hadi June 2024 nimeisikia mahala jana peke yangu tu au?

South Africa Kuna mgao,Nigeria Kuna Mgao sembuse Tanzania?

Waziri amesema mwisho wa mgao ni machi ila Bunge likatoa mda zaidi kwamba Hadi June kusiwe na mgao tena.
Kumbe
 
We jamaa nahisi ntakua nakufahamu. Katika maisha yangu nimekutana na mtu mmoja tu mwenye arguments za aina hii.

Yaani utetezi wako ni sawa na mwanafunzi anaepata 30% kwenye mtihani, halafu akiulizwa kwanini amefeli anajibu "mbona Juma kapata 20%, Ali kapata 15% na James kapata 10%, sembuse mimi?" Badala ya kujilinganisha na Hamza aliepata 85%, Hassan aliepata 90%, Esta 78% nk.
Leo nilikuwa na mawazo mengi wadeni wangu wamechanganya sana lakini mjomba umenifariji [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
TPA🤭, IKULU 😅
 

Attachments

  • IMG-20240217-WA0007.jpg
    IMG-20240217-WA0007.jpg
    70.1 KB · Views: 1
South Africa Kuna mgao,Nigeria Kuna Mgao sembuse Tanzania?

Waziri amesema mwisho wa mgao ni machi ila Bunge likatoa mda zaidi kwamba Hadi June kusiwe na mgao tena.

Tunajilinganisha na matatizo ya nchi nyingine? For real? Hapa ndio ulipofika?

Just because hizo nchi zina shida i doesnt mean tusi wajibike. Serikali iwajibike kwa hili hakuna kufichana
 
Nimeamini watanzania sisi ni mazezeta certified dimwits
Haiwezekani zaidi ya masaa 12 tunakosa umeme na tunaona sawa tu,lazima kuna fyuzi zitakuwa zmekata sehemu sio bure .

Watanzania wamezoea shida, na wameridhika nazo. Is why umaskini hauishi sababu unaanzia kwenye akili.

Hili ni tatizo lililotengezwa ku brainwash jamii ili iwe rahisi kuwa control

Watanzania wasipo amka now , hawatoamka tena
 
Tunajilinganisha na matatizo ya nchi nyingine? For real? Hapa ndio ulipofika?

Just because hizo nchi zina shida i doesnt mean tusi wajibike. Serikali iwajibike kwa hili hakuna kufichana
Kwani hatuwajiniki kuzikabili?
 
Magu amekufa na kila kitu kizuri

Alfu watu wanavyo watukuza viongozi
 
Katika mambo nilishindwa muelewa huyu spika ni hili la kuwapa muda hadi june, wakati serikali ilikua imeshajicommit kuwa by march, tatizo kwisha. Ila ipo siku, wananchi wataichukua nchi yao!
 
Maendeleo yapi unayozungumzia wewe popoma?
Samahani hivi unawaza kwa kutumia kiungo gani?
 
Back
Top Bottom