KumbeSouth Africa Kuna mgao,Nigeria Kuna Mgao sembuse Tanzania?
Waziri amesema mwisho wa mgao ni machi ila Bunge likatoa mda zaidi kwamba Hadi June kusiwe na mgao tena.
Spika Tulia: Bunge linataka mgao wa Umeme mpaka Juni uishe
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha. "Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili...www.jamiiforums.com
Popoma sio tusi ni embe ambalo alijakomaa ukilitikisa utasikia kitu kinacheza ndanimo,sina mbavuMaendeleo ya Kupambana na Fools of your type.
Mgao ukifika mwezi huo wa sitta wamehaidi kuchukua atua gani?Ya Tanzania.Wewe ulitakaje?
Wewe ni hasara kwa taifa.Na wewe ni mbumbumbu
Leo nilikuwa na mawazo mengi wadeni wangu wamechanganya sana lakini mjomba umenifariji [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]We jamaa nahisi ntakua nakufahamu. Katika maisha yangu nimekutana na mtu mmoja tu mwenye arguments za aina hii.
Yaani utetezi wako ni sawa na mwanafunzi anaepata 30% kwenye mtihani, halafu akiulizwa kwanini amefeli anajibu "mbona Juma kapata 20%, Ali kapata 15% na James kapata 10%, sembuse mimi?" Badala ya kujilinganisha na Hamza aliepata 85%, Hassan aliepata 90%, Esta 78% nk.
Wewe faida Kwa Taifa tuwashie umemeWewe ni hasara kwa taifa.
Zitachukuliwa mda huo ikiwemo wahusika KujiuzuluMgao ukifika mwezi huo wa sitta wamehaidi kuchukua atua gani?
South Africa Kuna mgao,Nigeria Kuna Mgao sembuse Tanzania?
Waziri amesema mwisho wa mgao ni machi ila Bunge likatoa mda zaidi kwamba Hadi June kusiwe na mgao tena.
Spika Tulia: Bunge linataka mgao wa Umeme mpaka Juni uishe
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha. "Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili...www.jamiiforums.com
Uko sahihi kbsaNimeamini watanzania sisi ni mazezeta certified dimwits
Haiwezekani zaidi ya masaa 12 tunakosa umeme na tunaona sawa tu,lazima kuna fyuzi zitakuwa zmekata sehemu sio bure .
Nimeamini watanzania sisi ni mazezeta certified dimwits
Haiwezekani zaidi ya masaa 12 tunakosa umeme na tunaona sawa tu,lazima kuna fyuzi zitakuwa zmekata sehemu sio bure .
Kwani hatuwajiniki kuzikabili?Tunajilinganisha na matatizo ya nchi nyingine? For real? Hapa ndio ulipofika?
Just because hizo nchi zina shida i doesnt mean tusi wajibike. Serikali iwajibike kwa hili hakuna kufichana
Samahani hivi unawaza kwa kutumia kiungo gani?Maendeleo yapi unayozungumzia wewe popoma?
Spika Tulia: Bunge linataka mgao wa Umeme mpaka Juni uishe
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha. "Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili...www.jamiiforums.com