Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

The Khoisan

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2007
Posts
16,434
Reaction score
14,547
Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!

1725891704170.jpeg

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
 
Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko .... YUDAS ISCARIOT....!!
View attachment 3091632
Najiuliza watoto wetu wanweza kuchumbia yule binti wa Msigwa anayeishi Gangilonga?

#Baba-mkwe wanamna hii ?
 
Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!

View attachment 3091632

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Fuatilia kwenye u-tube kuna mahojiano kwenye mtandao wa sauti ya watanzania amemtaja kwa jina ally kibao kuwa anaongoza kikundi cha hamasa cha chadema wakati anajibu maswali ya Wana sauti ya watanzania
 
Back
Top Bottom