ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Naikumbuka ile saying -:
Labda mambo yaharibike zaidi 🙄
Let us see what is coming next 🙄😳
Labda mambo yaharibike zaidi 🙄
Let us see what is coming next 🙄😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuulizeni nyie mnaodai msigwa kamchoma,wauaji hawakujua kuwa aliy ni strategist wa chadema mpaka msigwa amtaje?..na nini kimekuthibitishia kuwa kauawa kwa sababu za kisiasa?
Kwa sababu hujui ndiyo unaamua tu kumsingizia mtu!?..nyinyi mlilelewa vipi,mbona mmejaa husda na uzandiki!?Wewe unayejua tuambiae kauwawa kwa sababu gani .....!!?
Kwa sababu hujui ndiyo unaamua tu kumsingizia mtu!?..nyinyi mlilelewa vipi,mbona mmejaa husda na uzandiki!?
Umeuliza swali na wakati mnampakaza ubaya msigwa!!Acha ujinga kila kitu lazima kina theory behind it .... mimi nimeuliza swali tu. Sasa kama hilo ndiyo jibu ama ni coincidence, well and good.
Huoni jamaa alikua mwanajeshi, katumikia JWTZ huyo.Kwa hiyo ccm serekali na tiss yao wanaamini Mzee kibao ndo alikuwa strategist wa kupindua serekali
Huu uoga usio na uhalisia ni wa kijinga sana
Unampaje jina zuri hivyo, roho ya Baba yetu itarudi?Huyo Mchngaji feki msigwa ni mjinga sana
ondoa neno "kama"Msigwa ataumiza wengi Sana kwa kutafuta cheo. Lkn Mungu yupo. Kama alihusika kumtaja Mzee wa watu damu yake itaangaika ktk maisha yake yaliyosalia.
F-uckoffNaamini kuanzia mwanzo umeelewa!
Pia una uhakika kabisa kuwa kiswahili unajua??
Nina mashaka umetoka hivi karibuni "Kishmundu" au "Rombo" karibuni kwahyo hujui hata kiswahili vizuri..
Neno "hutokana" ni kiswahili Fasaha kabisa Labda Nimuite Rafiki yangu SIgara akufundishe 😅
Nakukumbusha Album ya tatu ya Proffesor Jay "JIFUNZE", "ONA", "SEMA" ,"ELIMIKA", "PITIA" na "HAMASIKA"
Au Kifupi "JOSEPH"
sasa Huwezi kuruka Stage yoyote kati ya hizo...
Upo kwenye stage ya kwanza kabisa sasa kaa ujifunze..
Usiruke kwenye stage ya Kusema kabla hujajifunza na Kuona.
Sasa ukishajifunza utaona na utasema na baadae utaelimika..
Naamini utajifunza..
Mushi Kuna mahali Nilikuita Uje UQuote kwenye Comments Yangu..F-uckoff
Moderators wa jf cjui ni robot au wanatumia Al?? , maana kwanza wako fasta kuliko kawaida na pili wanafuta hata vingine vya kawaida. bado sijapata jibu ila pia tuwape hongera Kwa kazi ya kulinda maudhui ya mtandaoni na kuondoka taarifa za uzushiModerator nilikuwa na made inayofanana na hii lakini mkaifuta😳
Alijisahau ukiwa Mstaafu wa Jeshi achana na kuchezea usalama wa nchi utakuwa eliminated!!Duh
Ila Ally Mohamed Kibao alikuwa hafahamiki kabisa kwenye Siasa za Chadema 🐼
Hayo mazingaobwe tu!Niko hapa Kwamsisi wazee wamekubaliana kufanya yao zinatakiwa ndoo sita za mate kukamilisha hilo fataki linaloandaliwa lazima watu wafe vifo vya ajabu ajabu.
Nilipata D mbiliHivi kwenye somo la Kiswahili ulipata ngapi?
Kondoo alikuwa anapita akamuona simba akilia akiwa amenasa kwenye boksi la chuma(grili), simba akamsihi sana kondoo amuokoe na kumuahidi kuwa hatamuua wala kumla, lakini kondoo akakataa.... Baada ya simba kubembeleza sana na kwa upumbavu wa kondoo, akafungua lile boksi la chuma.Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!
View attachment 3091632
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana