kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Msigwa ameshachanganyikiwa yule,na anazidi kuzeeka kwa kasi sanaNajiuliza watoto wetu wanweza kuchumbia yule binti wa Msigwa anayeishi Gangilonga?
#Baba-mkwe wanamna hii ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msigwa ameshachanganyikiwa yule,na anazidi kuzeeka kwa kasi sanaNajiuliza watoto wetu wanweza kuchumbia yule binti wa Msigwa anayeishi Gangilonga?
#Baba-mkwe wanamna hii ?
Mbaya zaidi huwa wanaiba kura kila uchaguziKwa hiyo ccm serekali na tiss yao wanaamini Mzee kibao ndo alikuwa strategist wa kupindua serekali
Huu uoga usio na uhalisia ni wa kijinga sana
Samahani Yohana wewe Ni mwanachama wa Chadema?Duh
Ila Ally Mohamed Kibao alikuwa hafahamiki kabisa kwenye Siasa za Chadema 🐼
Moderator nilikuwa na made inayofanana na hii lakini mkaifuta😳Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!
View attachment 3091632
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wakiwamaliza wa nje watarudi ndani hadi vyumbaniHii Sheria mpya ya salama wa taifa kupewa nguvu ya kisheria kuua yeyote bila kuwaijibika itatupa shida tuenako
Shughuli yake kiutendaji haikutofautiana na busguet wabarcelona....kilichowatofautisha venueDuh
Ila Ally Mohamed Kibao alikuwa hafahamiki kabisa kwenye Siasa za Chadema 🐼
Badala ya kujibu swali kama unalo jibu, unaendeleza speculations.Samahani Yohana wewe Ni mwanachama wa Chadema?
Unamjua Kiongozi alianzisha Red Brigade? Unamjua aliyekuwa Mtaalamu wa Siasa na Strategies kwenye chama cha Demokrasia?
Mnamjua Kiongozi mwandamizi aliyekuwa kiongozi wa Protokali Chadema?
Basi Hao ni baadhi ya Viongozi ambao wapo kwenye vyama ambao hawafahamiki
Narudia tena. Condom ingeprevent hii post.Boni kampigisha shoti kamanda mwenzake, halafu msibani yuko viti vya mbele
Sasa kinachokuliza ni nini, mpaka unaweka post 2 (#26 & 27) zenye ujumbe huo huo? Endelea tu kuchangia kwenye hii mada.Moderator nilikuwa na made inayofanana na hii lakini mkaifuta😳
Moderator nilikuwa na made inayofanana na hii lakini mkaifuta😳Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!
View attachment 3091632
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Hivi kwenye somo la Kiswahili ulipata ngapi?Sasa kinachokuliza ni nini, mpaka unaweka post 2 (#26 & 27) zenye ujumbe huo huo? Endelea tu kuchangia kwenye hii mada.
Tulipigia sana kelele wabunge wasipitishe ile maana hata wao litawakutaaa.......Hii Sheria mpya ya salama wa taifa kupewa nguvu ya kisheria kuua yeyote bila kuwaijibika itatupa shida tuenako
Sometimes tutumie hata akili kufikiri hivi mtu akitaka akutarget ni mpaka umtangaze kwenye mikutano ndio wakujue??? Ina maana kabla ya hapo wapikuwa hawamjuiNimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!
View attachment 3091632
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Inawezekana alikua kama chipset kwenye simu.Duh
Ila Ally Mohamed Kibao alikuwa hafahamiki kabisa kwenye Siasa za Chadema 🐼
Kumbe yalianzia kwake, aisee. Akamle nyama sasa. Windo lake limepatikana.Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!
View attachment 3091632
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kuna wakati ili kukuza Ufahamu Majibu hutokana. Na maswali utakayoulizwa!Badala ya kujibu swali kama unalo jibu, unaendeleza speculations.
Naogopa,.kufa, Mungu amesema usiue, anayekula njama za kuua ndiye muuaji mkuu. Hata hivyo naye atakufa ama natural death or caused. Miaka 100 ijayo hakuna atakayekuwepo. Najiuliza au kushangaa ! Haiwezekani maendeleo au harakati za kibinadamu bila mauaji na mateso kwa wengine ?Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!
View attachment 3091632
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Lucas gani, Mwashambwa? Yule headless chicken?Lucas ameshatuma posa 😄😄
Inasemekana inasemekana..acha uchakubimbiInasemekana amemmention kwenye mikutano yake huko mikoani ni Makalla.