Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

Mbowe anahama kutoka kwenye uhalisia na machawa wake ambao wamekosa relevance wamebakia kuhangaika na Msigwa hivi Msigwa kakosa nini?? Kwanini wasimuulize Masauni ndio waziri awambie nani kaua huyu mzee ni jukumu la Serikali kulinda watu hata kama MSIGWA KAMACHOMA
Serikali inatakiwa ilinde watu wake.
 
Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT!

View attachment 3091632

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kuwa strategist wa chama fulani sio kosa labda kama watu hawaelewi maana ya strategy. Hata CCM wanao strategists wao.

Chama chochote lazima kiwe na mipango mkakati wa kuendesha shughuli zao.

Strategist sio mhaini.
 
Hiyo kurjuani naomba ianze na huyu Msigwa apinde mdomo, miguu na mikono huku mate yakimtoka ovyo.
 
Kuwa strategist wa chama fulani sio kosa labda kama watu hawaelewi maana ya strategy. Hata CCM wanao strategists wao.

Chama chochote lazima kiwe na mipango mkakati wa kuendesha shughuli zao.

Strategist sio mhaini.

Off course, siyo kosa. Ila mkiwaondoa mnakiondoa pia Chama kwenye mstari.
 
Najiuliza watoto wetu wanweza kuchumbia yule binti wa Msigwa anayeishi Gangilonga?

#Baba-mkwe wanamna hii ?
Huyo hafai tena kuwa mke kama baba yake mzee Msigwa ambaye ni laana kwenye jamii, mnafiki na asiyeaminika mshirika wa wauaji.
Anaweza kuleta laana kwa kizazi chenu na kijacho.
Acha waoane wenyewe tuu wana wa Msigwa
 
Mkuu sitaki mazoea na hizo nyoka asee
Hahaha......hebu tazama kama huyu aliyekuwa Mchungaji Msigwa.....ina maana kukosa tu Ushindi amegeuka shetani. Ilo wapi ile Imani na mafundisho ya Samehe 7 mara 70?.


Iko wapi ile imani katika Kristo? Hadi leo anashutumiwa kushiriki njama dhidi ya viongozi wenzake?

Vipi kuhusu Aliyekuwa Askofu Pengo? Matendo yake na tabia zake zinaendana na kile anachofundisha? Ikiwa sivyo kwa ni i sisi tumfate?

Hiyo ni mifano tu. Wasitufanye sisi mazwazwa.
 
Kwa hiyo ccm serekali na tiss yao wanaamini Mzee kibao ndo alikuwa strategist wa kupindua serekali

Huu uoga usio na uhalisia ni wa kijinga sana
Mzee alimwambia Toto Tundu juu ya uwepo waa pesa za dully sykes ndani ya chama cha kombati
 
Back
Top Bottom