Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

The Khoisan

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2007
Posts
16,434
Reaction score
14,547
Najiuliza watoto wetu wanweza kuchumbia yule binti wa Msigwa anayeishi Gangilonga?

#Baba-mkwe wanamna hii ?
 
Fuatilia kwenye u-tube kuna mahojiano kwenye mtandao wa sauti ya watanzania amemtaja kwa jina ally kibao kuwa anaongoza kikundi cha hamasa cha chadema wakati anajibu maswali ya Wana sauti ya watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ