Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

Msigwa anatafuta pa kushikia tu, ni njaa. Alikuwa na hali mbaya sana kiuchumi. CCM inamfanya kama mtoto mdogo kwa kumpa kazi ya kubeba picha ya Samia na kutangulia mbele.
 
Kuna wakati ili kukuza Ufahamu Majibu hutokana. Na maswali utakayoulizwa!
Tulia uandike vitu vinavyoeleweka. Hata hili jibu lako umeandika kwa papara. Unaweka nukta pasipostahili. Hueleweki.

Pia siyo “hutokana”

Jibu swali kama una jibu. No need for more speculations.
 
Kumbe ndio sababu, KARMA si utani ni suala la muda tu. Wakiwamaliza wale watarudi kwao, alichofanya kitamtafuna maisha yake yote.
 
Kamsema kwenye Jukwaa la Sauti ya Watanzania kama yeye ndiye strategist wa Chadema. Nenda You Tube utamsikia.
Na strategist wa upinzan anapaswa kuuawa!?..kipi kinaonesha kuuawa kwa mzee aliy kulitokana na kuwa strategist wa chadema?
 
Tulia uandike vitu vinavyoeleweka. Hata hili jibu lako umeandika kwa papara. Unaweka nukta pasipostahili. Hueleweki.

Pia siyo “hutokana”

Jibu swali kama una jibu. No need for more speculations.
Naamini kuanzia mwanzo umeelewa!

Pia una uhakika kabisa kuwa kiswahili unajua??
Nina mashaka umetoka hivi karibuni "Kishmundu" au "Rombo" karibuni kwahyo hujui hata kiswahili vizuri..

Neno "hutokana" ni kiswahili Fasaha kabisa Labda Nimuite Rafiki yangu SIgara akufundishe 😅

Nakukumbusha Album ya tatu ya Proffesor Jay "JIFUNZE", "ONA", "SEMA" ,"ELIMIKA", "PITIA" na "HAMASIKA"
Au Kifupi "JOSEPH"

sasa Huwezi kuruka Stage yoyote kati ya hizo...
Upo kwenye stage ya kwanza kabisa sasa kaa ujifunze..

Usiruke kwenye stage ya Kusema kabla hujajifunza na Kuona.
Sasa ukishajifunza utaona na utasema na baadae utaelimika..

Naamini utajifunza..
 
Na strategist wa upinzan anapaswa kuuawa!?..kipi kinaonesha kuuawa kwa mzee aliy kulitokana na kuwa strategist wa chadema?

Waulize waliofanya hilo .... Na kwa nini auawe siku chache tu baada ya Msigwa kumtaja? Wengi hatukuwa tunamjua huyu Mzee .... Msigwa akaamua kumuingiza kwenye anga za Wasiojulikana.
 
Waulize waliofanya hilo .... Na kwa nini auawe siku chache tu baada ya Msigwa kumtaja? Wengi hatukuwa tunamjua huyu Mzee .... Msigwa akaamua kumuingiza kwenye anga za Wasiojulikana.
Nakuulizeni nyie mnaodai msigwa kamchoma,wauaji hawakujua kuwa aliy ni strategist wa chadema mpaka msigwa amtaje?..na nini kimekuthibitishia kuwa kauawa kwa sababu za kisiasa?
 
Someone Anipe hiyo Link ya Youtube aliyomtaja
Hao watekaji waliokua na bunduki zitumiwazo na usalama wa taifa,walihitaji taarifa toka kwa msigwa kuwa aliy alikua strategist wa chadema ndiyo waruke nae?.. wengine wanadai kuna orodha oyster bay ya wanaopaswa kuuawa,tushike lipi,kuna orodha au watekaji wanasubiri kutonywa?
 
Hii Sheria mpya ya salama wa taifa kupewa nguvu ya kisheria kuua yeyote bila kuwaijibika itatupa shida tuenako
Wala msihuzunike, aliyeiweka hataishi milele kama kiongozi wa nchi, hata wewe unayeiona ni sheria mbaya unaweza kuwa Kiongozi na ukaionmdoa mara moja, wacha yatokee ili tujue uhalisia wao mbona haya yaliyotokea ni huruma ya Mungu kutaka kutuonyesha tuliowaamini wapo vipi kwenye mioyo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…