Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
I see no problem there.
Sent using Jamii Forums mobile app
Then possibly you are on the same level or bellow her level in English proficiency that is why you couldn't and you wont see any problem in what she said grammatically.
but based on her level of education that wasn't proper English
Ukitaka prof. Aongee terminologies usizozielewa ?
Tangu tupate viongozi wa kisiasa wasipjua Kiingereza kutomuda lugha hiyo lumepata watetezi wengi kweli kweli.
One hundred and fifty million TZS.Kilikuja na meli. Pale Udsm mwalimu anaongea Kinge akiwa darasani tu. Mkitoka nje ni kiswahili mpaka nyumbani. Mtu Kinge anaongea asilimia 3 ,Kiswahili asilimia 97.
Ni hivi yeye kaongea kingereza halafu amount akataja kiswahili. Mimi ndo nimeitafasiri kwenda kingereza.Prof alisahau kusema million 150 kwa kingereza ?Hapo kuna tatizo gani madam?Ninavyofahamu kitaalamu tunavyozungumzia pesa maneno hundred,thousand,na million hayabebi wingi.Naomba kueleweshwa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunashida pahala kujua mathematics hakukufanyi usijue English au kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe wasema[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ni sentensi mbili zenye maana moja
1.hey my fellow bagamoyo villagers you have done me good things i will not forget.
2.I feel indebted by the cooperation of bagamoyo residents
Prof tulitarajia hiyo sentensi ya pili .mpoki hiyo ya kwanza
Mifumo ya ufundishaji kiingereza ni mibovu duniani kote si kwetu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kajikuta tu???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimekutana na maprof. wengi wenye uwezo mzuri wa kumudu lugja walizosomea masomo yao. Wengine wamesomea Ujerumani, wanaongea Kiingereza safi, Kijerumani Kizuri na Kiswahili sanifu.
Kushindwa kumudu kitu ulichojifunza na kufundishwa kwa miaka mingi, ni uthibitisho kuwa you are not trainable. Being not trainable is one of the indicators of low IQ.
Kosa lake lipo wapi naona kila mtu anashadadia ebu tuambieni wapi kakoseaVery poor! I feel ashamed really that she holds that high post in the government.