msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Eti good at English.
Hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Mbona kajitahidi sana kuongea kizungu, tatizo ni mifumo yetu ya elimu ni mibovu, watoto tunapokuwa nyumbani ni kiswahili kwa kwenda mbele, tukifika shuleni (sekondari) ni kiswahili kwa kwenda mbele tukiingia darasani ni Kiswanglish (kiswakinge) kwa kwenda mbereee, sasa ni lini tunaweza kuwa good at English??![emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app