Hivi Hili ni mimi naliona kuhusu Dar au na wengne pia mnaona hivyo?

Hivi Hili ni mimi naliona kuhusu Dar au na wengne pia mnaona hivyo?

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
421
Reaction score
728
Mada Fupi tu maana Kuna mambo mengi ya kufanya pia.
Iko Hivi kuhusu Jiji la Dar es salaam
Mm Naona wanawake wa Dar ni warembo sana. Sure cjui ni macho yangu au nn!.
Kuna Saa unajitahidi hata usiangalie pembeni ukaze macho mbele kama Robot 😎
OK hivi Kuna mkoa mwingne unapiku Dar kwa wanawake warembo, wazuri na wasafi?
Mwisho c Hitaji ushauri.. Una shida ya psychology wala nn
Ni mtazamo wangu nawe pia unaweza ukaona vingne.
Wenye data mkoa unao zidi Dar kwa warembo, wazuri.. weka hapa pls Ila najua hakuna.
 
Back
Top Bottom