tena unakuta anae omba achangiwe ana afya njema, akili timamu, ana uwezo na nguvu kabisa za kufanya kazi....
mi nadhani,
msingi wake ni malezi, mazoea na tabia mbaya wanazo endekeza baadhi ya wana siasa na hao wa huko kwa maombezi ambao ni wa binafsi sana na wanajiona wao ni special than special itself.
tabia hii isopokemewa kwa nguvu zote, hukomaa na kua ndio maisha ya mtu, kama ya ombaomba wengine huko mabarabarani. ni aibu na fedheha sana kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki au taasisi inayohusika