Hivi hili ni ubinafsi uliopitiliza au tuitaje? Lipo sana kwa wachungaji na wanasiasa

Hivi hili ni ubinafsi uliopitiliza au tuitaje? Lipo sana kwa wachungaji na wanasiasa

Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu .

Au kufanikisha mambo ambayo ni faida yake binafsi au mambo kama pesa ya Mwenge /ujenzi wa shule mambo ambayo Serikali inaweza gharamia

Unakuta walengwa ni watu ambao hata kula yao tu shida.

Tuitaje hili? Kibaya zaidi anachangiwa mtu mwenye uwezo mkubwa tu wa kifedha.​
Kwani umelazimishwa? Kuwalazimisha ni vibaya. Kama tumetoa Kwa hiari ni upumbavu wetu tuache! Na hata wewe siamini kama bando unawekewa kuiandika haya uliyoandika.
 
tena unakuta anae omba achangiwe ana afya njema, akili timamu, ana uwezo na nguvu kabisa za kufanya kazi....

mi nadhani,
msingi wake ni malezi, mazoea na tabia mbaya wanazo endekeza baadhi ya wana siasa na hao wa huko kwa maombezi ambao ni wa binafsi sana na wanajiona wao ni special than special itself.

tabia hii isopokemewa kwa nguvu zote, hukomaa na kua ndio maisha ya mtu, kama ya ombaomba wengine huko mabarabarani. ni aibu na fedheha sana kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki au taasisi inayohusika :BASED:
Kwa madhila yaliyomkuta TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU tutamchangia hata bila yeye kusema chochote kama ambavyo tumeamua kumchangia kwa ajili ya kumnunulia ndinga mpya LC 300 baada ya alilokuwa akitumia nyie mkalichakaza na risasi bila huruma kwa lengo la kutoa uhai wake.

Na hata hili likiisha akisema hana mafuta tutamchangia tena ili wenye wivu wa kike mkajinyonge pambaaf
 
Kwa madhila yaliyomkuta TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU tutamchangia hata bila yeye kusema chochote kama ambavyo tumeamua kumchangia kwa ajili ya kumnunulia ndinga mpya LC 300 baada ya alilokuwa akitumia nyie mkalichakaza na risasi bila huruma kwa lengo la kutoa uhai wake.

Na hata hili likiisha akisema hana mafuta tutamchangia tena ili wenye wivu wa kike mkajinyonge pambaaf
aah kumbe huyo nae ni miongoni mwa ombaomba kuchangiwa. Ndio tabia na mazoea mabaya mtoa hoja anajaribu kutukumbumsha kuikemea 🐒
 
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu .

Au kufanikisha mambo ambayo ni faida yake binafsi au mambo kama pesa ya Mwenge /ujenzi wa shule mambo ambayo Serikali inaweza gharamia

Unakuta walengwa ni watu ambao hata kula yao tu shida.

Tuitaje hili? Kibaya zaidi anachangiwa mtu mwenye uwezo mkubwa tu wa kifedha.​
Shida ipo kwa watoa michango. Wao wanaona hao wanasiasa na wachungaji hawastahili kuishi maisha wanayoishi wao. Na hao wenyewe wanaona kuishi maisha wanayoisha wanaowatawala ni ajabu. Ndio maana akipanda usafiri wa umma au boda boda au bajaji atapost kama vile ni jambo la ajabu na wananchi watasema jamaa kweli mzalendo na mtu simple. Yani eti kutumia kile wanachotumia ni uzalendo.
Mimi mwenyewe naanzaje kumchangia mtu ambaye kwanza uwezo anao na bado kama usafiri anao tena SUV
 
Japo sijachanga kwa kutoona umuhimu lakini sioni tatizo pia watu kuchanga.

Maana *150# unabonyeza kwa utashi wako kabisa,kisha unatumia 1000 na unahakiki na namba ya siri.
 
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu .

Au kufanikisha mambo ambayo ni faida yake binafsi au mambo kama pesa ya Mwenge /ujenzi wa shule mambo ambayo Serikali inaweza gharamia

Unakuta walengwa ni watu ambao hata kula yao tu shida.

Tuitaje hili? Kibaya zaidi anachangiwa mtu mwenye uwezo mkubwa tu wa kifedha.​
Vizuri ungetueleza lini na wapi Lissu aliitisha kikao cha kuomba achangiwe hela za kinunua gari.
 
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu .

Au kufanikisha mambo ambayo ni faida yake binafsi au mambo kama pesa ya Mwenge /ujenzi wa shule mambo ambayo Serikali inaweza gharamia

Unakuta walengwa ni watu ambao hata kula yao tu shida.

Tuitaje hili? Kibaya zaidi anachangiwa mtu mwenye uwezo mkubwa tu wa kifedha.​
Mwambie lissu ndio ameleta hoja anachangiwa kununua gari jipya. Yaani kiongozi mbinafsi hadi inashangaza.
 
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu .

Au kufanikisha mambo ambayo ni faida yake binafsi au mambo kama pesa ya Mwenge /ujenzi wa shule mambo ambayo Serikali inaweza gharamia

Unakuta walengwa ni watu ambao hata kula yao tu shida.

Tuitaje hili? Kibaya zaidi anachangiwa mtu mwenye uwezo mkubwa tu wa kifedha.​

ULALAMISHI WA MWANAMKE MGUMBA. MTU AKIOMBA KUNA MAWILI KUMPA AU KUMNYIMA. SASA HILO NALO LA KUJA LALAMIKA HUMU? UNGEKUWA MWANAUME NINGEKUTOA MAANA KABISA. ILA KWA NYIE WANAWAKE NDO KAWAIDA YENU
 
Back
Top Bottom