Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Fake zote huwa zinatokana na original. Ukiona kitu kinafojiwa sana ujue kina soko.
Shetani hawezi kuhangaika na walio tayari anadeal an wasio wake ili awalete kwake
 
Okay early writings, great controversy, testimonies for the church na more ni vya white navyo nimesoma nikuhakikishie tu
Sasa unihakikishie kwa maneno....?? Ningeona hapa unaniletea quotation zake hapa
 
mimi ni mkristo lakini dini hii imejaa ubabaishaji sana yaan janjajanja nyingi sana.tofauti na wenzetu waisilamu
 
history books kwenye vitabu kama vya early fathers waanzilishi wa ukristo
Kuwa na adabu wewe....Hawaitwi Early Fathers ila Church Fathers....

Na pia unapowataja lazima wapewe heshima yao...Mf. St Augustine Of Hippo, St. Anselm, St Jereome...nk nk nk
 
Ninapo kwambia nimesoma historia ya kanisa LA SDA na hayo yote ulioyaita cult namaanisha hakuna utachoniambia kipya kwangu kaka labda kama umefunuliwa wewe tu ila kama kimeandikwa basi jua nakifahamu
So what!!! Angalau pangua hayo niliyoandika kwa kuleta quotes za hizo vitabu
 
Watu wachache wa dini flani wanapokua wanaenda kinyume na utaratibu hatusemi dini ndo mbaya bali watu hao ndo wabaya. Haijalishi ni kiongozi au la. Wapo waislamu kibao wanaojitoa muhanga na kuua watu kibao. Lakini siamini kama waislamu hao wanatumwa na dini ya kiislamu bali ni ubaya wao binafsi. KWA HIYO NDUGU, DINI ZIPO NA SI KILA MFUASI WA DINI FLANI ANAFUATA MAFUNDISHO YA DINI YAKE COZ KILA MTU ANA SIDES ZAKE BAD SIDE NA GOOD SIDE. Kwa kiasi flani haupo sahihi kwa hilo wazo lako xo change
 
Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.

THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY
ad42926ec012afe5e02c786a318a5f22.jpg
09d395465e293d4c6f2301889c440105.jpg
Saa yaja ambapo waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli. We don't believe in religions or dominions we believe in worshiping the Living God. Dini yako si kitu mpendwa. Bali wokovu ndo kila kitu. Wokovu ni njia ya Mungu kumtafta mwanadamu na hii ilifanyika kwa njia ya kufa kwa Yesu na Mungu akikutafta kwa vyovyote atakupata hata uwe wapi na dini gani.
Dini ni juhudi ya mwanadamu kumtafta Mungu. Ndo maana watu wamekua wakizunguka kila mahali huku na huko lakini wengi wamekua wanajichanganya tu. Wokovu unapoingia hapo ndo mtu hugeuka na kujua Mungu yu wapi. Dini yako si kigezo, siku unayoabudu si kigezo. Kigezo ni wokovu
 
Peleka ushenzi huko kwenye makambi..


Yani unataka kuniambia hicho kikundi kilichoanzishwa na mwanamke Ellen Gould White mke wa Bw James White, tena mkulima wa massachusset mwaka 1863 ndio dini...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wanaopinga utatu Mtakaifu na Ufufuko wa Yesu ndio dini ya kweli...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wahuni waliomsingizia Yesu kuwa kajificha mbinguni kwenye uchochoro eti anafanya hukumu ya upelelezi..??


Hebu wacha ushenzi wewe...
Hahahaaaaaaa umenivunja mbavu ndg yangu Otorong'ong'o
 
Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.

THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY
ad42926ec012afe5e02c786a318a5f22.jpg
09d395465e293d4c6f2301889c440105.jpg
kwahyo huyu ndio yesu au actor
 
Itakuchukua miaka yote yako yote utakayo ishi na hutaweza kupata jibu sahihi we amini ulicho pewa na wazazi wako
 
Kwa kweli hatujuwi tunapokwenda na hizi Imani, hata watoto wangu wasipoenda Kanisani wala siwaki kama zamani, maana wanapoona vituko vya hao manabii, hasa yule aliyezaa na binti wa shule (twice)! Kutengwa kwa wakatoliki na hata kukataliwa kuzikwa kiimani, kisa jumuiya na dhihaka kama hizi za kubeba masilaha ya kivita huwa nakosa majibu, kwa kweli Wakristo tunapitia wakati mgumu sana na Imani zetu..
Unakosea mjenge Imani mwanao kama uliyojengewa na wazazi wako unaweza kumpa mwanga kidogo
 
Ni ngumu kueleweka na si rahisi kutema sumu mlizomezeshwa,na kuachana na hayo yakupasa ujitoe kwa nguvu zote...

Hebu tutathimini haya,je mungu kama yupo yuko wapi au tulishawahi kumsikia wap na anafananaje fananaje?,na je ulishawahi kuona au kusikia uwepo wake mahala fulani?


Je huyu mungu wenu ni mwenye amani na mnyenyekevu kwa watu wake?,kama ni hivyo na inaaminika yeye ndo muumbaji wa kila kitu kaktk ulimwengu...

Kwanini aliumba mabaya na mema?,ni nini kilichomfanya aumbe ubaya wakati si jambo sahihi kwann asingeumba mambo ya wema tu...analeta mambo mabaya machafu yasiyo faa huu ni upuuzi kuamini kuna mungu na ni mchezo mchafu unaoendelea kuchezwa kwenye vichwa vyenu ni upuuzi,dini gank hizo zinasadiki fedha na wengine wanathubutu kulaghai mpka mikitano mikuu na kuasa kuwa mungu anatoa utajili ..


Ni ujinga na upuuzi kuamini kitu kisichokuwepo,najua hamuwez kuacha kuamini huyo mungu wenu msie mfaam..NA ASIYE KUWEPO.
IMG_20180319_024900_840.jpg
IMG_20180318_074351_376.jpg
IMG_20180319_030203_616.JPG
 
Jaribu kusoma na kuelewa.
Nimesema moja ya sababu ya mkanganyiko wa Christian doctrines ni kupotea kw a maana through translations

Leo kuna baadhi ya mistari ukisoma kwa kiswahili unaingia chaka completely maana haieleweki.unapotafsiri lugha moja kwenda nyingine tens lugha zisizo endana kabisa kama kiebrania kwenda kiswahili ,au Aramaic (,kitabu cha Daniel) kwenda kiswahili ,au kilatin kwenda kiswahili lazima upoteze maana

Ndomana nikasema njia wanayotumia waislamu katika kuitunza Qur'an ni nzuri maana wa. Hifadhi maana halisi iliyokusudiwa kwa kujifunza katika lugha ya asili

Unapojifunza kitu in its original language you can easily get the intended meaning .

Usiponielewa basi tena.
Kwanza Yesu alipewa bible au injili???
 
Back
Top Bottom