Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Mleta mada unaongelea free Masons hao!Sema wamefanikiwa kuingiza taratibu zao za ibada kwenye makanisa Karibu yoote!Nenda you tube angalia Freemasons rituals,utaona nyimbo kama zinazoimbwa kanisani zikiimbwa na masons.
We unafikiri Freemason vilaza kiasi hicho au unafikiri wameanza operation zao 2010 ulivyoanza kutumia Google Na YouTube?
Wamekuwepo way back kabla hizo dini hazijaja Africa yaan babu yako anaabudu mizimu tu Leo hii unajifanya unawajua
 
We unafikiri Freemason vilaza kiasi hicho au unafikiri wameanza operation zao 2010 ulivyoanza kutumia Google Na YouTube?
Wamekuwepo way back kabla hizo dini hazijaja Africa yaan babu yako anaabudu mizimu tu Leo hii unajifanya unawajua
Hakuna kitu kibaya kama unarithishwa imani halafu na wewe kama zuzu unaikubali bila kuuliza maswali!
Hapo juu kuna mtu kaweka hii...
tapatalk_1519433265999-jpeg.711576


Mwenye akili timamu lazima ajiulize tu, versions zote hizo si hata lile neno original litakuwa limeyeyuka?!
Wacha tuitwe shitholes tu..
 
Hao uliowataja wote sio vielelezo vya ukristo

Ukitaka kuujua ukristo vizuri sogea kwa Yesu nenda msalabani acha kupakazia wanadamu kuharibu ukristo

Zaidi hawa viongozi amebeba madhehebu yanayoongoza watu kumjua Mungu zaidi
 
Hakuna dini ya kweli iwr ukristo,uislam au Buddha nk

Zote waongo tu

Coz Mungu akili yako
 
Nimeuliza ni SDA gani hiyo huyo kenge anainadi zaidi za hiyo niliyotolea sifa zake za msingi..??
Nimewahi kuandika humu dini zinafunga sana akili watu kiasi kwamba they become irrational

Reason ni kwamba MTU yupo tayari kuandika uongo juu ya dini nyingine ili aitetee dini yake

Na huo ndo ukweli dini zimeharibu sana akili za watu

MTU pekee anaeweza elewa dini zote na kuzi compare inabidi awe neutral na watu hao wanakosekana sana

Mkuu unayoongea yote ni ya uongo na yanabebwa na frustration za chuki believe me

Nimezaliwa katika ulutheri na nikajifunza ulutheri kwelikweli nikakua katika shule ya kisabato nikajifunza sana usabato kupitia kwa wasabato na sources za nje ya usabato

Hii ilinifanya nisome kuhusu ukatoliki ,Mormonism, Jehovah witnesses
Pia nikaanza kujifunza uislamu
Ni karudi kwenye historia

Katika haya yote nikajifunza mengi sana ,na kuu dini nyingi au dhehebu nyingi zinalishwa uongo kuhusu wengine ili kulinda maslahi ya dini/dhehebu jingine

Katika dhehebu ambalo lina kasoro nyingi aisee Rc is up there any person with a free logical mind hawezi dumu two years in that church .
Pia kwa Mormons nimejifunza mengi but never was I convinced

SDA wana mafunzo mazuri sana kwenye healthy and nutrition also in bible but nimesoma sana historia and its doctrines napo I ain't convinced

But nikajakugundua most Christians hawajui wanacho amini hawasomi maandiko au asili ya imani yao so they are so blind and ignorant on their faith cha muhimu kuwahasa Christians try kuwa wasomaji wazuri wamaandiko na sio wakakaririshwaji tu wa bible verses
Jaribu ata kutengeneza your bible reading plan ili ufanye coverage ya whole bible itawasaidia sana

Hawa manabii fake wana benefit sana kwenye ujinga ndomana wanapata followers wengi sana in a short time

This ain't personal just an advice to you and others of your kind
 
SDA wana mafunzo mazuri sana kwenye healthy and nutrition also in bible but nimesoma sana historia and its doctrines napo I ain't convinced
Ok! Umesoma sana historia...???? Sijui kama unaifahamu hiyo historia ya Wasabato......

Labda tu nikuambie kama hujui Hao SDA Walikuwa katika kundi moja la cults religion on earth
The four Cult xtian religion
1. SDA
2. Mormon
3. Jehova Witness
4. Xtian Scientology
 
Dini ni IMANI na imani ni personal tena kila imani ni sahihi kwa muumini,yaani hata ukiamini hakuna MUNGU/Dini bado uko sahihi sana tena sana .Mjadala wowote kuhusu dini una upendeleo ni kama 3 yaweza kuwa tarakimu tatu au w au SIGMA ,kutegemeana na unaposimama wakati ukiainisha.Matumizi mabaya ya imani hizi ni mengi yasiyohitaji shahada ya chuo kikuu kuyajua.......mjadala mzuri uwe wa KATIBA zetu,BUNGE,na kama vipi GORERNANCE.
 
Peleka ushenzi huko kwenye makambi..


Yani unataka kuniambia hicho kikundi kilichoanzishwa na mwanamke Ellen Gould White mke wa Bw James White, tena mkulima wa massachusset mwaka 1863 ndio dini...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wanaopinga utatu Mtakaifu na Ufufuko wa Yesu ndio dini ya kweli...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wahuni waliomsingizia Yesu kuwa kajificha mbinguni kwenye uchochoro eti anafanya hukumu ya upelelezi..??


Hebu wacha ushenzi wewe...

pona basi huo wendawazimu ndugu. ukipewa dawa uwe unamaliza dozi halafu usichanganye na maziwa. maziwa yanaua nguvu ya dawa. halafu uwe unanawa vizuri ukitoka chooni. unaoneka umetoka na kinyesi halafu kimetokea mdomoni.
 
Ok! Umesoma sana historia...???? Sijui kama unaifahamu hiyo historia ya Wasabato......

Labda tu nikuambie kama hujui Hao SDA Walikuwa katika kundi moja la cults religion on earth
The four Cult xtian religion
1. SDA
2. Mormon
3. Jehova Witness
4. Xtian Scientology
Hahaha unajua maana ya cult religion?

Kuwa makini kwenye internet hayo madhehebu yanapigwa vita sana hasa na RC na walokole kukuta internet yamekuwa labelled as cults ni kawaida tu

Rudi vitabuni kaka ndo upate knowledge.

Tena I didn't talk about Jehovah witnesses honestly when you use the bible as the reference only you are never going to win an argument with them

Problem LA RC doctrines ni kwamba most sio biblical if you know what I mean
Biblia ni sehemu ndogo sana kwa mkatoliki kwakuwa mna source zenu nyingi mnazoona ni bora kuliko biblia

Kwa walokole ndo nawaonea huruma sababu wengi wao hawajui wanachoamini kabisa.

Niliona unasema wasabato (SDA) hawaamini utatu mtakatifu sio kweli kaka
Misingi ya u SDA IPO 29 kaisome vizuri hili huwa wanapakaziwa as part ya propaganda.

wasabato wanaamini utatu mtakatifu na IPO katika top ten ya misingi yao so msiwapakazie uongo kutetea weakness zenu nyingi

Mashahidi wa Jehovah ndio wasioamini utatu mtakatifu na biblically kwakweli you will never find any verse kuthibitisha utatu mtakatifu kwa maana kwenye bible haupo haujawahi kuwepo

Most translations zinafanywa kimakosa makusudi Ku edit maana kuleta logic kwenye hio imani ya trinity kukushauri kasome translinear bible
Au Latin bible at least zipo close na true meaning ya verses but nivyema usome maandiko in their original language translations zina punguza maana ya maneno


Ndomana nawasifu sana waislamu na ideology yao ya kusoma Qur'an katika original language wana tunza maana halisi zilizokusudiwa tangu enzi za kale

Translations zinafaida but hasara zake ni kubwa kama kupoteza maana iliokusudiwa na mwandishi kipindi anaandika
 
Kuwa makini kwenye internet hayo madhehebu yanapigwa vita sana hasa na RC na walokole kukuta internet yamekuwa labelled as cults ni kawaida tu
Wewe!

Kwataarifa yako tu nikupe..kwamba SDA toka anzishe William Miller, Kisha EGW na kundi lake lilikuwa ni Movement(Kundi la Kiharakat)

SDA halikutambulika kama kanisa mpaka mwaka 1863...Sijui kama unafahamu nyaraka za EGW (EGW early Writings) ambazo zilifichwa na GC ili kunusuru kikindi cha SDA..?? Sasa u-cult unaanzia hapo..


Ni swala la mimi nikae sawa sianze kushusha ukweli
 
Tena I didn't talk about Jehovah witnesses honestly when you use the bible as the reference only you are never going to win an argument with them
Sidhani kama ulikuwa na habari kuwa Joseph Smith alijiengua SDA na kwenda kuanzisha Jehova Witness..

Sababu za kumuondoa sidhani kama unazifahamu
 
Problem LA RC doctrines ni kwamba most sio biblical if you know what I mean
Biblia ni sehemu ndogo sana kwa mkatoliki kwakuwa mna source zenu nyingi mnazoona ni bora kuliko biblia
Biblia gani...?? Biblia yenyewe ni mali na ubunifu wa hao Wakatoliki.....yani wao ndio walio-compile hiyo biblia inayotumia wewe..


Hivi najibizana na mtu mwenye uelewa kweli...


Na sina uhakika kama unafahamu maana ya Doctrine.....
 
Nawapenda sana nyie watu mnao aminishwa vitu bila kufanya utafiti na ndio vitu vina iangamiza africa sababu hatutafiti...ALLAH ni jina Mungu ila kuna mtu akiandika kitabu chenye story hizo ambacho mnafundishwa sunday achool au makanisani naijua story yote yule jamaa alivyoi twist sababu anajua huwa mnawaamin sana bila kufanya tafati na lengo muendee kupotea nakupa elimu.!

Baada ya warumi na baadae walatin kuiteka iman ya ukrist jambo la kwanza ilikuwa ni kuitoa iman katika majina yake ya asili lugha aliyokuwa anaizungumza Yesu ni kiibreania sio kingereza lugha ya kiibrania na lugha ya kiarabu zinatofautiana kidogo katika matamshi hata kwenye majina ntakupa mfano
Yosef kwa kiibrania kiarabu anaitwa Yusuf walatin kwaita Joseph, Ibrahim kiarabu, Abraham kiibreania,yacobo kiibrania, Yacubu kiarabu walatin wakaita Jacob,Yohana kiibrenia Yahaya kiarabu wazungu wakaita John,Isso kiibrania,Issa kiarabu wazugu wakamuita Jesus...ukitaka elimu ya kwanini walikuwa wanatumia herufi J ni siku nyingine ila hiyo ndio siri ya kubadiki majina ya asili ya watu kupoteza uhalisia..

Sasa tukija kwenye swala la ALLAH ni jina la mwenyeziMungu kwa kiarabu na kwa kiebrania anaitwa ELLAH...had leo ndivyo inavyotamkwa na hata sehem ndogo ya lugha ya asili aliyokuwa anaiungumza Yesu kwa mujibu wa bible yesu alipokuwa msalabani alilia kwa kuita jina ELLAH,ELLAH hayo mengine spelling zake zijazishika na hata ukienda kuangakia bible ya kiarabu au yenye tafsiri ya kiarabu ndio jina wanalotumia kwa kutaja Mungu kwa kuita ALLAH...Yes maisha yake yote alitumia jina ELLAH sio God..kwanA halijui.!
Umeqoute koment yangu bila kujibu hata swali moja zaidi ya kuandika mambo yako yasiyo na ushahidi.
Nikufundishe tu hakuna sehemu eti yesu kiswahili, issa kiarabu ni uongo.
Tafuta biblia ya kiarabu angalia sehemu anapotajwa yesu utakua pameandikwa yasu Kiarabu hii isa mnafosi.
Yesu Kiswahili, jesus Kiingereza, yasu kiarabu.
Acha kupotosha halafi jibu maswali yangu
 
Niliona unasema wasabato (SDA) hawaamini utatu mtakatifu sio kweli kaka
Misingi ya u SDA IPO 29 kaisome vizuri hili huwa wanapakaziwa as part ya propaganda.
Nilitaka kujua wewe ni nani hasa....maana hapa ulitaka kukana kikundi chako cha SDA kijanja...ila baada ya kuutupa mshale hewani nimesikia sauti...

Unaona hapa ulivyokana Usabato wako
SDA wana mafunzo mazuri sana kwenye healthy and nutrition also in bible but nimesoma sana historia and its doctrines napo I ain't convinced
Sasa nakurudia tena kwenye hii post yako...
 
Misingi ya u SDA IPO 29 kaisome vizuri hili huwa wanapakaziwa as part ya propaganda.

wasabato wanaamini utatu mtakatifu na IPO katika top ten ya misingi yao so msiwapakazie uongo kutetea weakness zenu nyingi
Ewaaa!!! Sasa kumbe Fundamental Doctrines za SDA ni 29 na Sio 28 tena.....maana yake zinaendelea kuongezwa......

Moja ya Sifa ya Cult ni ni kubadili doctrine kulingana na wakati.....SDA walianza na doctrine 24 mpaka leo hii kwa mujibu wako zimefika 29...
Ok! Sawa..

Sasa swala La Utatu Mtakatifu halikuwa kipaumbele au Fundisho la Nabii Mke Ellen G White....EGW katika maandishi yake alisema Utatu Mtakatifu ni Mafundisho ya Kipagani ya Kanisa Katoliki....maana haipo kwenye biblia....which is true ni kweli Biblia haijaongelea Utatu Mtakatifu....

Kilichoendelea hapo kati ya EGW na EGW Estate hiyo ni mada ingine....tushie hapa.....

Na kama koikuwa hujui Wasabato wanayo biblia yao mpya iitwayo the Clear Word Bible....hii biblia yenu mpya imeongezwa manuscript za EGW...

Huko kwenye Biblia yenu mpya Utatu Mtakatifu umekuwa termed kama Polytheisim....(Sijui kama tunaelewana)
 
Back
Top Bottom