Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Mungu yupo, Usiangalie walioshindwa angalia waliokatika ukristo na wapo wamesimama miguu miwili
 
Hilo siyo swala la kidini bali ni kama kuonesha hisia zao kwa serikali kuhusiana na sera ya umiliki silaha kule Marekani.

Sijaona kosa hapo, haina tofauti sana na maandamano ya kule DRC yaliyoasisiwa na kanisa Catholic
 
Unabii ni lazima utimie, ni sehemu gani kwenye Quran iliyotabiri ya kuwa kutaondokea manabii wa uongo na yanatimia??
 
Dini ya kweli pesa tu kwani kila mtu anaiabudu.
 
Ukiristo ni njia yente mafundisho ya mungu wa ukweli. Na mafundisho hayo yako kwenye kitabu takatifu yaani biblia. Unapokwenda kanisani hufuati matendo ya mtu bali kusali na kujifunza mafundisho ya mungu. Usifuate matendo ya kiovu yanayofanywa na baadhi ga viongozi wa dini. Wengine wanatumiwa na shetani ili kuupaka matope ukristo. Shatani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya mungu.
Ni kweli pia mleta mada anatumiwa na shetani ila mwenyewe hajijui tu
 
Ukiristo ni njia yente mafundisho ya mungu wa ukweli. Na mafundisho hayo yako kwenye kitabu takatifu yaani biblia. Unapokwenda kanisani hufuati matendo ya mtu bali kusali na kujifunza mafundisho ya mungu. Usifuate matendo ya kiovu yanayofanywa na baadhi ga viongozi wa dini. Wengine wanatumiwa na shetani ili kuupaka matope ukristo. Shatani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya mungu.
shetani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya Mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya Mungu.

[emoji115] [emoji115] [emoji115]

True 100%
 
tuna imani, dini, na madhehebu. kipi tunatafuta binadamu??? upendo pekee ndio msingi mengine yote ni Maua tu juu ya kaburi. hayamfufui marehemu.
 
Mleta mada unaongelea free Masons hao!Sema wamefanikiwa kuingiza taratibu zao za ibada kwenye makanisa Karibu yoote!Nenda you tube angalia Freemasons rituals,utaona nyimbo kama zinazoimbwa kanisani zikiimbwa na masons.
 
tuna imani, dini, na madhehebu. kipi tunatafuta binadamu??? upendo pekee ndio msingi mengine yote ni Maua tu juu ya kaburi. hayamfufui marehemu.
kabisa kabisa, tatizo letu binadamu, hasa Watz, tunatumia imani zetu, dhehebu zetu na ibada zetu kunyanyasana, kuiba, chuma ulete na mifarakano isiyo na mwanzo wala mwisho..
wanadai maugomvi karibu yote Duniani yanasababishwa na imani na dini zetu..
 
Unabii ni lazima utimie, ni sehemu gani kwenye Quran iliyotabiri ya kuwa kutaondokea manabii wa uongo na yanatimia??



marjoe-gortner-quotes.jpg






marjoe-gortner-quotes-2.jpg
 
shetani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya Mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya Mungu.

[emoji115] [emoji115] [emoji115]

True 100%


hqdefault.jpg




richpre.jpg
 
Mi naamini kuna supernatural power ambayo imepelekea kuwemo kwa dunia hii na kuwepo kwa viumbe hai akiwemo binadamu. Najua kuna source ya yote haya na ndio ninayoiamini

Ni mseminary mzuri tu mimi ila muda mwingi huwa nawaza nje ya boxvna kuona kuwa hizi dini zinatudanganya tu na kutunyonya. Ni propanganda zisizo na maana.
Wanataka sadaka za kondoo hahhahahahahhhahaah
 
tuna imani, dini, na madhehebu. kipi tunatafuta binadamu??? upendo pekee ndio msingi mengine yote ni Maua tu juu ya kaburi. hayamfufui marehemu.


MKUU, UPENDO WA KIFISI ??
 
Zaidi ya Mashahidi ya Yehova, dini zingine ni upuuzi tu.
Mashahidi wa Yehova wanywao ponbe ndo dini ya kweli huku wakimshusha Yesu ukuu wake kwa kusema Yesu ni mzaliwa wa kwanza, wala hana mamlaka ya ki-Mungu?

Mtazame Charles Taze Russell akitoka kule ktk chama kubwa kuja kuanzisha dhehebu la Jehovah's Witnesses na kuja na uchafu kutoka kule n mambo ya ajabu sn. Tuishie hapo. .............................
 
Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.

THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY
ad42926ec012afe5e02c786a318a5f22.jpg
09d395465e293d4c6f2301889c440105.jpg
Unamsubiri masia ea kwanza au wa pili??
 
Back
Top Bottom