Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Peleka ushenzi huko kwenye makambi..


Yani unataka kuniambia hicho kikundi kilichoanzishwa na mwanamke Ellen Gould White mke wa Bw James White, tena mkulima wa massachusset mwaka 1863 ndio dini...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wanaopinga utatu Mtakaifu na Ufufuko wa Yesu ndio dini ya kweli...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wahuni waliomsingizia Yesu kuwa kajificha mbinguni kwenye uchochoro eti anafanya hukumu ya upelelezi..??


Hebu wacha ushenzi wewe...
Watu wengin walibidi wazikwe wazima wazima bila huruma.
 
Mi naamini kuna supernatural power ambayo imepelekea kuwemo kwa dunia hii na kuwepo kwa viumbe hai akiwemo binadamu. Najua kuna source ya yote haya na ndio ninayoiamini

Ni mseminary mzuri tu mimi ila muda mwingi huwa nawaza nje ya boxvna kuona kuwa hizi dini zinatudanganya tu na kutunyonya. Ni propanganda zisizo na maana.
Ulishawahi nunua simu bila manual book??
 
Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Kama si za kweli kwa nini waislam wameiga mengi kutoka ukristo uliotangulia miaka 600 kabla ya uislamu?
 
Ukiristo ni njia yente mafundisho ya mungu wa ukweli. Na mafundisho hayo yako kwenye kitabu takatifu yaani biblia. Unapokwenda kanisani hufuati matendo ya mtu bali kusali na kujifunza mafundisho ya mungu. Usifuate matendo ya kiovu yanayofanywa na baadhi ga viongozi wa dini. Wengine wanatumiwa na shetani ili kuupaka matope ukristo. Shatani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya mungu.
Haya kitabu kipi kinasema ukweli hapo???
tapatalk_1519433265999.jpeg
 
Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Dini yako na wale wanaojilipua ni kitu kimoja pia siyo?hupaswi kupinga we Boko haram/Alshaabab maana kila mtu na imani yake

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.

THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY
ad42926ec012afe5e02c786a318a5f22.jpg
09d395465e293d4c6f2301889c440105.jpg
picha za kuchora
 
Kwa kweli hatujuwi tunapokwenda na hizi Imani, hata watoto wangu wasipoenda Kanisani wala siwaki kama zamani, maana wanapoona vituko vya hao manabii, hasa yule aliyezaa na binti wa shule (twice)! Kutengwa kwa wakatoliki na hata kukataliwa kuzikwa kiimani, kisa jumuiya na dhihaka kama hizi za kubeba masilaha ya kivita huwa nakosa majibu, kwa kweli Wakristo tunapitia wakati mgumu sana na Imani zetu..
ndugu yangu we soma biblia ndio taa ya maisha itakuelekeza wapi ni sahihi..... usikubali kusomewa huo ni mpango wa shetani
 
Aise hujakosea kabisa na mtazamo wako, kuna kasinema nilitazama, kulikuwa na wakinamama wanaharakiti, walidai Mungu ni mwanamke!
Kwa kweli sikuona ajabu kabisa, bado siamini kama Mungu ni mwanaume, yawezekana sababu ya mabavu yetu na kujikakamuwa..
Ila mwanamke ndio kila kitu, hii lazima tukubali, kweli mbegu za kiume zahitajika, zaidi ya hapo sidhani kama sisi wanaume tuna la zaidi la kumshinda mwanamke, hili swala tuliangalie kwa makini sana, kukaa na mimba miezi tisa si mchezo (mwanaume hawezi), kuzaa ni kazi ngumu zaidi (nina imani sisi wanaume hatuwezi kabisa ule uchungu), kulea mpaka mtoto anajitegemea ni balaa, haya yote kwa upande wangu naamini mwanamke ni jabali zaidi, na sisi wanaume tulitakiwa kuongozwa naye..
Tuje kwenye ukatili, wanaume siyo wakatili, hata kidogo, mwanamke mkuu! Acha kabisa na ukatili wa mwanamke, akiamuwa kukufanyizia huponi!
Utafutaji, hapa mwanaume kapigwa ngwala ya kufa mtu, 100% wametushinda kwenye hili, hasa kama ana watoto...
Tabia nzuri, ustaarabu, upole, heshima na mapenzi, tena tumepigwa bao, wanaume tuko very selfish, tuko sana na "mimi mimi mimi)..mwanamke yuko selfish sawa, ila kwa familia yake, kwa zao lake, kuna ule usemi nyoka akiingia kwenye boma lenu na kutaka kudhuru mtoto, mwanaume atafanya nini? atatafuta silaha yoyote kwanza, mwanamke atamfuata nyoka bila silaha yoyote, amini usiamini atakayekufa pale ni nyoka!
Kama Mama Havinitishi Musa...Shes a GOD!
mama aliyesadiwa na JPM ,alichukuliwa na POLISI hizi hapa sababu via YouTube
 
Peleka ushenzi huko kwenye makambi..


Yani unataka kuniambia hicho kikundi kilichoanzishwa na mwanamke Ellen Gould White mke wa Bw James White, tena mkulima wa massachusset mwaka 1863 ndio dini...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wanaopinga utatu Mtakaifu na Ufufuko wa Yesu ndio dini ya kweli...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wahuni waliomsingizia Yesu kuwa kajificha mbinguni kwenye uchochoro eti anafanya hukumu ya upelelezi..??


Hebu wacha ushenzi wewe...
Asee!
 
Back
Top Bottom