Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hahaha unajua maana ya cult religion?

Kuwa makini kwenye internet hayo madhehebu yanapigwa vita sana hasa na RC na walokole kukuta internet yamekuwa labelled as cults ni kawaida tu

Rudi vitabuni kaka ndo upate knowledge.

Tena I didn't talk about Jehovah witnesses honestly when you use the bible as the reference only you are never going to win an argument with them

Problem LA RC doctrines ni kwamba most sio biblical if you know what I mean
Biblia ni sehemu ndogo sana kwa mkatoliki kwakuwa mna source zenu nyingi mnazoona ni bora kuliko biblia

Kwa walokole ndo nawaonea huruma sababu wengi wao hawajui wanachoamini kabisa.

Niliona unasema wasabato (SDA) hawaamini utatu mtakatifu sio kweli kaka
Misingi ya u SDA IPO 29 kaisome vizuri hili huwa wanapakaziwa as part ya propaganda.

wasabato wanaamini utatu mtakatifu na IPO katika top ten ya misingi yao so msiwapakazie uongo kutetea weakness zenu nyingi

Mashahidi wa Jehovah ndio wasioamini utatu mtakatifu na biblically kwakweli you will never find any verse kuthibitisha utatu mtakatifu kwa maana kwenye bible haupo haujawahi kuwepo

Most translations zinafanywa kimakosa makusudi Ku edit maana kuleta logic kwenye hio imani ya trinity kukushauri kasome translinear bible
Au Latin bible at least zipo close na true meaning ya verses but nivyema usome maandiko in their original language translations zina punguza maana ya maneno


Ndomana nawasifu sana waislamu na ideology yao ya kusoma Qur'an katika original language wana tunza maana halisi zilizokusudiwa tangu enzi za kale

Translations zinafaida but hasara zake ni kubwa kama kupoteza maana iliokusudiwa na mwandishi kipindi anaandika
Unawasifu waislam kusoma quran kwa kiarabu ili mmasai asielewe si ndio. Au wanasikia raha ile kusoma huku wanaimba bila kujua hata kinachoongelewa
 
Otorong'ong'o kazini na propaganda zake dhidi ya kanisa la Waadventista Wasabato

Nachoshukuru program zako walizokufeed hazijawahi kubadilika kila siku ni yaleyale mara cult mara takataka gani sijui upuuzi tu hauna jipya

Ila mafundisho yenu ya uongo huyasemi habari ya kuwaombea wafu, ubatizo wa watoto, kuomba kupitia Maria na wafu wengine, kubadili sabato ya Bwana na amri zake haya huyaoni kabisa ni kipofu kabisa

Hii nguvu ungeitumia kutetea kweli za Mungu zinazokanyagwa na dhehebu lenu hakika ungewavuta wengi kwa Kristo
 
Dini ya kweli ni kumfuata Kristo na kuzitii Amri Kumi za Mungu utaokoka na kuurithi Ufalme wa Mungu
 
Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.

THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY
ad42926ec012afe5e02c786a318a5f22.jpg
09d395465e293d4c6f2301889c440105.jpg
Lini aja
 
Ubatizo wa watoto ni utata uliokubuhu. Unamteka mateka kiiimani kwani hajui kitu. Akue achague imani yake ukimlea kwa maadili mema. Mimi nilibatizwa nikiwa na miaka 18 ila kuchunguza ukristu na chanzo chake nikasepa .Kwa sasa imani yangu naijua mwenyewe.
 
Wewe!

Kwataarifa yako tu nikupe..kwamba SDA toka anzishe William Miller, Kisha EGW na kundi lake lilikuwa ni Movement(Kundi la Kiharakat)

SDA halikutambulika kama kanisa mpaka mwaka 1863...Sijui kama unafahamu nyaraka za EGW (EGW early Writings) ambazo zilifichwa na GC ili kunusuru kikindi cha SDA..?? Sasa u-cult unaanzia hapo..


Ni swala la mimi nikae sawa sianze kushusha ukweli
Nikuhakikishie tu kwamba najua vyote ulivoandika na nimesoma vitabu vya Ellen g white vingi mno obviously more than ten na vipo vingi mno kumaliza sio rahisi coz I have a lot to read but vitabu vyake vikuu ambavyo vimekuwa kama misingi ya mafundisho nimesoma. Almost vyote
 
Vitabu gani.....

EGW Early Writing
Investigative Judgement
Great Contoversy.......??? Vitabu gani hasa
Okay early writings, great controversy, testimonies for the church na more ni vya white navyo nimesoma nikuhakikishie tu

But rudi kwenye history achana na SDA sababu kitabu kama great controversy kimebase sana kwenye history rudi kwenye history books kwenye vitabu kama vya early fathers waanzilishi wa ukristo wakwanza uone shuhuda zao utajua mengi narudia tena rudi vitabuni kijana
 
Sidhani kama ulikuwa na habari kuwa Joseph Smith alijiengua SDA na kwenda kuanzisha Jehova Witness..

Sababu za kumuondoa sidhani kama unazifahamu
Ninapo kwambia nimesoma historia ya kanisa LA SDA na hayo yote ulioyaita cult namaanisha hakuna utachoniambia kipya kwangu kaka labda kama umefunuliwa wewe tu ila kama kimeandikwa basi jua nakifahamu
 
Biblia gani...?? Biblia yenyewe ni mali na ubunifu wa hao Wakatoliki.....yani wao ndio walio-compile hiyo biblia inayotumia wewe..


Hivi najibizana na mtu mwenye uelewa kweli...


Na sina uhakika kama unafahamu maana ya Doctrine.....
Yani MTU asiye fahamu neno doctrine jukwaa lake inabidi liwe LA entertainment kaka

Doctrine ni simply mafundisho
 
Nilitaka kujua wewe ni nani hasa....maana hapa ulitaka kukana kikundi chako cha SDA kijanja...ila baada ya kuutupa mshale hewani nimesikia sauti...

Unaona hapa ulivyokana Usabato wako

Sasa nakurudia tena kwenye hii post yako...
Ukisoma vizuri utajua actually sins dhehebu nimekutajia mapungufu pia ya SDA ,na strength za mashaidi wa yehovah inamaana Mimi ni mmoja wao hebu soma vizuri before you make ur conclusion
 
Ewaaa!!! Sasa kumbe Fundamental Doctrines za SDA ni 29 na Sio 28 tena.....maana yake zinaendelea kuongezwa......

Moja ya Sifa ya Cult ni ni kubadili doctrine kulingana na wakati.....SDA walianza na doctrine 24 mpaka leo hii kwa mujibu wako zimefika 29...
Ok! Sawa..

Sasa swala La Utatu Mtakatifu halikuwa kipaumbele au Fundisho la Nabii Mke Ellen G White....EGW katika maandishi yake alisema Utatu Mtakatifu ni Mafundisho ya Kipagani ya Kanisa Katoliki....maana haipo kwenye biblia....which is true ni kweli Biblia haijaongelea Utatu Mtakatifu....

Kilichoendelea hapo kati ya EGW na EGW Estate hiyo ni mada ingine....tushie hapa.....

Na kama koikuwa hujui Wasabato wanayo biblia yao mpya iitwayo the Clear Word Bible....hii biblia yenu mpya imeongezwa manuscript za EGW...

Huko kwenye Biblia yenu mpya Utatu Mtakatifu umekuwa termed kama Polytheisim....(Sijui kama tunaelewana)

Nothing new has been added from what I know ni just more clarifications
 
Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Weka uthibitisho kuwa hao wanafanya ibda ya kikristo.
 
Ewaaa!!! Sasa kumbe Fundamental Doctrines za SDA ni 29 na Sio 28 tena.....maana yake zinaendelea kuongezwa......

Moja ya Sifa ya Cult ni ni kubadili doctrine kulingana na wakati.....SDA walianza na doctrine 24 mpaka leo hii kwa mujibu wako zimefika 29...
Ok! Sawa..

Sasa swala La Utatu Mtakatifu halikuwa kipaumbele au Fundisho la Nabii Mke Ellen G White....EGW katika maandishi yake alisema Utatu Mtakatifu ni Mafundisho ya Kipagani ya Kanisa Katoliki....maana haipo kwenye biblia....which is true ni kweli Biblia haijaongelea Utatu Mtakatifu....

Kilichoendelea hapo kati ya EGW na EGW Estate hiyo ni mada ingine....tushie hapa.....

Na kama koikuwa hujui Wasabato wanayo biblia yao mpya iitwayo the Clear Word Bible....hii biblia yenu mpya imeongezwa manuscript za EGW...

Huko kwenye Biblia yenu mpya Utatu Mtakatifu umekuwa termed kama Polytheisim....(Sijui kama tunaelewana)

Nimekwambia Mimi sio SDA
Usiforce niwe nilitaka tu kumake things clear

Kuhusu Ellen g white estate Hio ni moja ya vitu ambavyo vilinifanya nisiwe convinced na imani Hio kwasababu ambazo ni nyingi

Kuna vitu havipo clear namimi dini yenye siri yoyote siwezi iamini maana yanarudi yaleyale ya wakatoliki
Mfano.ukisoma soma LA ulaji wa nyama kuna sehemu katika vitabu anajipinga
Pia there is a controversy behind the the great controversy origin ya kitabu mwandishi halisi (plagiarism if you know what I mean)
 
Unawasifu waislam kusoma quran kwa kiarabu ili mmasai asielewe si ndio. Au wanasikia raha ile kusoma huku wanaimba bila kujua hata kinachoongelewa

Jaribu kusoma na kuelewa.
Nimesema moja ya sababu ya mkanganyiko wa Christian doctrines ni kupotea kw a maana through translations

Leo kuna baadhi ya mistari ukisoma kwa kiswahili unaingia chaka completely maana haieleweki.unapotafsiri lugha moja kwenda nyingine tens lugha zisizo endana kabisa kama kiebrania kwenda kiswahili ,au Aramaic (,kitabu cha Daniel) kwenda kiswahili ,au kilatin kwenda kiswahili lazima upoteze maana

Ndomana nikasema njia wanayotumia waislamu katika kuitunza Qur'an ni nzuri maana wa. Hifadhi maana halisi iliyokusudiwa kwa kujifunza katika lugha ya asili

Unapojifunza kitu in its original language you can easily get the intended meaning .

Usiponielewa basi tena.
 
Nikuhakikishie tu kwamba najua vyote ulivoandika na nimesoma vitabu vya Ellen g white vingi mno obviously more than ten na vipo vingi mno kumaliza sio rahisi coz I have a lot to read but vitabu vyake vikuu ambavyo vimekuwa kama misingi ya mafundisho nimesoma. Almost vyote
Kwa hiyo...????
 
Back
Top Bottom