Allain Massai
Member
- Mar 2, 2018
- 12
- 25
Jibu langu ni Hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tu mkuu maana ukikaa nalo moyoni litazidi kukuchefua na usipolitoa unaweza kuwa unawanyima watu kitu chakujifunzaWengine tukitoa michango yetu tunaweza tukachafua hali ya hewa sasa humu Jamvini na nchi ikasimama. Ngoja nijinyamazie tu Mimi japo moyoni nina Hasira ambayo naiona kila sekunde inazidi tu kupanda.
Mungu wenu nani?Tanzania kuna dini Moja inaitwa Chadema ....iyo ndo tunaiamini ...maana Tumeipigania way back
Tatizo lenu moja tu..Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.
THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY![]()
![]()
Hebu pitia the Four Cult religion on earth
Uko kama mimi mkuuMi naamini kuna supernatural power ambayo imepelekea kuwemo kwa dunia hii na kuwepo kwa viumbe hai akiwemo binadamu. Najua kuna source ya yote haya na ndio ninayoiamini
Ni mseminary mzuri tu mimi ila muda mwingi huwa nawaza nje ya boxvna kuona kuwa hizi dini zinatudanganya tu na kutunyonya. Ni propanganda zisizo na maana.
Uyo uyo unaemuita MunguMungu wenu nani?
ni siku za mwisho wa dunia mzee.Manabii wa uongo wametapakaa kila pande za dunia.Hii haimanishi imani ya kikristo haipo.Ushetani upo na unafanya kazi kwa muda wakeNi maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Sema tu mkuu maana ukikaa nalo moyoni litazidi kukuchefua na usipolitoa unaweza kuwa unawanyima watu kitu chakujifunza
We nawe unaaleta usabato tu.Mwingine atakuja na dini yake akiitetea huku asijue malengo yakeDini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.
THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY![]()
![]()
Ukiristo ni njia yente mafundisho ya mungu wa ukweli. Na mafundisho hayo yako kwenye kitabu takatifu yaani biblia. Unapokwenda kanisani hufuati matendo ya mtu bali kusali na kujifunza mafundisho ya mungu. Usifuate matendo ya kiovu yanayofanywa na baadhi ga viongozi wa dini. Wengine wanatumiwa na shetani ili kuupaka matope ukristo. Shatani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya mungu.Kwa kweli hatujuwi tunapokwenda na hizi Imani, hata watoto wangu wasipoenda Kanisani wala siwaki kama zamani, maana wanapoona vituko vya hao manabii, hasa yule aliyezaa na binti wa shule (twice)! Kutengwa kwa wakatoliki na hata kukataliwa kuzikwa kiimani, kisa jumuiya na dhihaka kama hizi za kubeba masilaha ya kivita huwa nakosa majibu, kwa kweli Wakristo tunapitia wakati mgumu sana na Imani zetu..
baba umemshukia kwa ghadhabu mhurumiePeleka ushenzi huko kwenye makambi..
Yani unataka kuniambia hicho kikundi kilichoanzishwa na mwanamke Ellen Gould White mke wa Bw James White, tena mkulima wa massachusset mwaka 1863 ndio dini...???
Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wanaopinga utatu Mtakaifu na Ufufuko wa Yesu ndio dini ya kweli...???
Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wahuni waliomsingizia Yesu kuwa kajificha mbinguni kwenye uchochoro eti anafanya hukumu ya upelelezi..??
Hebu wacha ushenzi wewe...
MennoniteHebu pitia hata kwenye mitandao " the Four Christian Cults"
Kwa Kukutajia tukianza kwa mtiririko
1. Seventh Day Adventist
2. Jehova Witness
3. Mormon
4. Christian Scientology
hebu nitajie sifa za cult yapo chache?Hebu pitia the Four Cult religion on earth
Jehova Witness
Mormon
SDA tian Scientology
tatizo wewe ni mwanasiasa na hutoa maoni yako kisiasa zaidiWengine tukitoa michango yetu tunaweza tukachafua hali ya hewa sasa humu Jamvini na nchi ikasimama. Ngoja nijinyamazie tu Mimi japo moyoni nina Hasira ambayo naiona kila sekunde inazidi tu kupanda.
hebu nitajie sifa za cult japo chache?Hebu pitia the Four Cult religion on earth
Jehova Witness
Mormon
SDA
Xtian Scientology
Ndio ukweli huo, sometimes inabidi kujiongeza sio kufata mkumbo tuUko kama mimi mkuu
nitajie sifa za cult?Hebu pitia the Four Cult religion on earth
Jehova Witness
Mormon
SDA
Xtian Scientology
Nnaemuita mimi Mungu hajasema kama Chadema ni dini. Sasa sijui Mungu wako atakuwa nani. Ibada mnafanyia wapi na mnaifanya vipi?Uyo uyo unaemuita Mungu