Zeroiez
Senior Member
- May 2, 2013
- 181
- 201
Ungeanza na kujadili hoja ingependeza zaidi...mtoa mada ni muislam tuondolee udini wako hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeanza na kujadili hoja ingependeza zaidi...mtoa mada ni muislam tuondolee udini wako hapa.
Hajui huko misikitini wanaingia na mabomu wamevaa na wanajilipua kabisamtoa mada ni muislam tuondolee udini wako hapa.
Kwani wale wapagani wanafanya vipi Ibada na Dini yao Ilitajwa na nani...???Nnaemuita mimi Mungu hajasema kama Chadema ni dini. Sasa sijui Mungu wako atakuwa nani. Ibada mnafanyia wapi na mnaifanya vipi?
Kwani umelazimishwa kuzifuata?Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Huyu Mungu huyu huyu, tuchukulie wa waislam, wa wakiristo, wa wayahudi, wa hindu, bohora n.k hakusema kuwa Chadema ni dini yake lakini. Vitabu vyote takatifu vya dini zote havikutaja Chadema.... itakuwa Mungu wenu mwengine...Mungu wetu si ni Mungu huyu huyu.
We Jamaa Vipi, kwani Dini ya Mababu zako Ilitajwa na Mungu.Huyu Mungu huyu huyu, tuchukulie wa waislam, wa wakiristo, wa wayahudi, wa hindu, bohora n.k hakusema kuwa Chadema ni dini yake lakini. Vitabu vyote takatifu vya dini zote havikutaja Chadema.... itakuwa Mungu wenu mwengine...
Mungu wa wapagan sio mungu wa wakiristo wala waislam wala mayahudi. Ndio maan nkauliza Mungu wenu nani ambaye amekupeni dini ya Chadema? Mbowe atakuwa mtume wa dini ya chadema lakini tumjue na mungu wenu basi. Pagan wako tofauti tofauti, wengine wanaabudu masanamu na majina wameyapa, wengine wanaabudu majini.Kwani wale wapagani wanafanya vipi Ibada na Dini yao Ilitajwa na nani...???
Sisi Mungu wetu ni Huyo Huyo aliekuumba wwMungu wa wapagan sio mungu wa wakiristo wala waislam wala mayahudi. Ndio maan nkauliza Mungu wenu nani ambaye amekupeni dini ya Chadema? Mbowe atakuwa mtume wa dini ya chadema lakini tumjue na mungu wenu basi. Pagan wako tofauti tofauti, wengine wanaabudu masanamu na majina wameyapa, wengine wanaabudu majini.
Hauna mpya mkuuWengine tukitoa michango yetu tunaweza tukachafua hali ya hewa sasa humu Jamvini na nchi ikasimama. Ngoja nijinyamazie tu Mimi japo moyoni nina Hasira ambayo naiona kila sekunde inazidi tu kupanda.
kolosai 2:16 kushika sabato si twakwa la kikristoUkiacha wasabato Wakristu wanaabudu siku ya jumapili (Sunday ) siku ya kuabudu jua zama za kale. Mfalme Constantine alipokea ukristu kibiashara, jumlisha akili yako uchanganye na ulichoambiwa na wamisionari. Huenda kuna baraza la siri lililoandaa ukristu kwani Mungu hana mtoto, hata kama ana mtoto asingemtoa sadaka kama binadamu wa leo wanavyofanya ili wafanikiwe
wanapenda kujifanya wasafi wakati ni hatari kuliko wanavyojionyeshaHajui huko misikitini wanaingia na mabomu wamevaa na wanajilipua kabisa
Hapo tu, yale yale walituambia Mungu yuko mbinguni, tuombe juu, tuangalie juu, chochote kile, utajiri, amani, maisha mema...Jibu langu ni Hilo![]()
hakuna hoja yoyote ya msingi ya kujadiliwa hapo....udini mtupu.Ungeanza na kujadili hoja ingependeza zaidi...
Haiwezekani, alieniumba mimi hakunifundisha kuwa Chadema ni Dini. Halafu Mungu alieniumba mimi ametaka dini yake isimbae dunia nzima. Sasa namshangaa Mungu unaemsema wewe dini hio ipo Tanzania tu na wala haimhubiri mungu....Sisi Mungu wetu ni Huyo Huyo aliekuumba ww